• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Hospitali ya Wilaya ya Rufiji yapokea Msaada wa Vifaa vya Million 30 kwa ajili ya watoto waliozaliwa kabla ya Muda

Posted on: September 7th, 2024

Shirika lisilo la kiserikali la Doris Mollel Foundation limetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 30 kwa ajili ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda (njiti) na wenye uzito pungufu katika Hospitali ya Wilaya ya Rufiji. Lengo la msaada huu ni kupunguza vifo vya watoto hao na watoto wachanga.

Akizungumza wakati wa kupokea msaada huo mwishoni mwa wiki, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, aliwataka wadau mbalimbali kuendelea kujitokeza kusaidia wananchi kwani bado kuna uhitaji mkubwa wa vifaa tiba na huduma za kijamii.

Pia, Waziri Mchengerwa aliwahimiza wahudumu na madaktari kutoa huduma kwa weledi, bashasha, na kuwahudumia wananchi kwa huruma na ufanisi. "Sitaki kuona mwananchi yeyote akidharauliwa anapokuja kupata huduma. Wahudumieni kwa bashasha na huruma," alisema.

Waziri Mchengerwa aliongeza kuwa hatasita kuchukua hatua za kinidhamu kwa uzembe wowote wa makusudi utakaofanywa na watoa huduma, ambao unaweza kusababisha madhara kwa wananchi. "Nikisikia uzembe wa makusudi, nitaagiza hatua za kinidhamu zichukuliwe mara moja," alisisitiza.

Vilevile, aliagiza changamoto za kupandishwa madaraja kwa watumishi wa afya zishughulikiwe haraka ili kuboresha maslahi yao na kuongeza ari na weledi katika utendaji kazi.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Doris Mollel Foundation, Bi. Doris Mollel, aliishukuru serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kujali na kutenga bajeti kwa ajili ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda (njiti).

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200