• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Inabidi Tushirikiane tufanye kazi ,tuwe wabunifu na kupanua wigo wa kujitangaza ili kuongeza watilii nchini na kukuza pato la Taifa- Ulega

Posted on: October 7th, 2022

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi ,ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega ameeleza lengo la ongezeko la idadi ya watalii milioni 5 na kuzalisha dollar za kimarekani Bilioni 6 ifikapo,2025 itawezekana kutokana na ongezeko la watalii kwa sasa.

Akitembelea baadhi ya mabanda ya washiriki wa maonyesho ya wiki ya biashara na uwekezaji Mkoani Pwani yanayofanyika Mailmoja Kibaha Mjini,Ulega akiwa banda la Wizara ya Utalii pamoja na banda la Halmashauri ya Mafia na Mkuranga alisema ,namna idadi inavyoongezeka na kuingiza dollar bilioni sita kufikia 2025 inawezekana .

"Inabidi tushirikiane ,tufanyekazi ,tuwe wabuni ,umoja na kupanua wigo wa kujitangaza ili kuongeza watalii nchini na kuinua Pato la Taifa hadi lifikie asilimia 30-40 na hii kwa juhudi zetu Tutafika"Hakuna kinachoshindikana inawezekana."alifafanua Ulega.

Ulega alieleza ,Hifadhi za Taifa ikiwemo Ngorongoro,Saadan ,Selou,na Vikindu Forest zifanye kazi ili kuvutia watalii ndani na nje ya nchi.

Aidha akitembelea Banda la Halmashauri ya Mkuranga aliwataka kufanya marejesho ya tamasha la Utalii Mkuranga ambalo lilileta matokeo chanya.

Ulega alifafanua kwamba ,Vikindu forest iliyopo Mkuranga ni utalii tosha ambapo kwasasa watalii 500 wanafika kujionea vivutio mbalimbali na wengine kwenda kupumzika kwa mwezi .

"Hii ni hatua nzuri ya uwekezaji endeleeni kupaendeleza ili kuongeza idadi ya watalii wa ndani na nje "

Wakati akiwa Banda na Halmashauri ya Mafia ,Kaimu mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Mohammed Hussein aliwashawishi watu waende Mafia kujionea kivutio kikubwa Cha Papa Potwe.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777