• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kamati ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Uvuvi na Mifugo yafanya Ziara Kikazi Pwani.

Posted on: November 12th, 2024

Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Uvuvi, na Mifugo imefanya ziara ya kikazi ya siku moja mkoani Pwani kwa kutembelea Maabara ya Uzalishaji wa Chanjo ya Mifugo ya TVLA iliyopo wilayani Kibaha.

Kamati hiyo ilipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Abubakar Kunenge, ambaye, pamoja na mambo mengine, alizungumzia mikakati mikubwa iliyowekwa na Serikali ya Mkoa kwa ajili ya kuimarisha miundombinu na kuvutia uwekezaji ndani ya mkoa.

Mheshimiwa Kunenge alieleza kuwa mikakati hiyo inajumuisha ujenzi wa miundombinu ya barabara, Bandari Kavu ya Kwala, ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo, na kuimarisha upatikanaji wa nishati ya umeme wa uhakika pamoja na gesi.

Katika ziara hiyo, Kunenge aliomba Serikali kuongeza juhudi katika ujenzi wa miundombinu katika kongani za viwanda ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za kijamii, hatua itakayosaidia kuwavutia wawekezaji kuwekeza katika maeneo hayo.


Aidha Kamati hiyo iliyoongozwa Mwenyekiti wake, Mhe. Deodatus Mwanyika imeipongeza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kwa uzalishaji wa chanjo za mifugo ambazo zinatumika kukinga magonjwa mbalimbali pamoja na kuboresha afya za mifugo hapa nchini.

Pongezi hizo walizitoa wakati walipotembelea Wakala ya Maabara hiyo ya Veterinari Tanzania (TVLA) kwenye Taasisi ya Chanjo Tanzania

‘Leo tumetembelea Maabara hii ya uzalishaji wa Chanjo, tumeangalia kazi zinazofanyika hapa, tumelizika kwa kiasi kikubwa, tunaipongeza sana Serikali, na tunaipongeza sana TVLA. Kamati tunataka watu waelimishwe kuhusu umuhimu, uzuri na uhitaji wa chanjo ili wasiwe na wasiwasi kuhusiana na chanjo zetu. Chanjo ni muhimu kwa mustakabali mzima wa ufugaji’ Alisema Mhe. Mwanyika

Kwa upande wake Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Alexander Mnyeti amesema kuwa mipango ya Wizara ni kuendelea kuhamasisha pamoja na kutoa elimu kwa wafugaji kuhusu umuhimu wa kuchanja Mifugo kwani kuna baadhi ya wafugaji hawana utaratibu wa kuchanja.

‘Tuna maafisa ugani kwenye ngazi ya kata na kijiji na halmashauri wote wanaendelea kutoa elimu ya umuhimu wa chanjo na uchanjaji, chanjo zipo za kutosha, tuwahakikishie wafugaji wote kuwa tuna uwezo wa kuzifikisha popote walipo’ Alisema Mhe. Mnyeti

Pia, Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Maabara ya VeterinariT anzania (TVLA), Dkt. Stella Bitanyi amesema kuwa kwa sasa TVLA imeweza kuwafikia wafugaji moja kwa moja kuwapa elimu ya umuhimu wa chanjo kwa mifugo yao.


Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88