• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

Posted on: January 15th, 2026

Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, amefungua mafunzo ya siku mbili kwa vikosi kazi vya utekelezaji wa Mfumo wa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O&OD) ulioboreshwa. Mafunzo hayo yanawahusisha wataalamu mbalimbali kutoka ngazi ya Mkoa na Halmashauri.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao kazi hicho kilichofanyika  Januari 15, 2026, katika ukumbi wa mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani,  Mnyema amewasisitiza wataalamu hao kusikiliza kwa umakini mafunzo hayo ili kuongeza ufanisi katika uingizaji wa kazi na taarifa sahihi, jambo litakalowezesha mkoa kutekeleza mfumo huo ipasavyo.

Ameeleza kuwa mafunzo hayo ni muhimu na si ya mzaha, kwani yana lengo la kuboresha utekelezaji wa majukumu ya Serikali kwa maslahi mapana ya wananchi. Ameongeza kuwa Mkoa wa Pwani unaendelea kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali, hivyo ni wajibu wa wataalamu kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi bila visingizio.

“Baada ya mafunzo haya, nataka kuona mabadiliko yanayoonyesha mkoa unakwenda vipi. Haikubaliki kushindwa kutimiza majukumu yetu,” amesema Mnyema.

Aidha, amesisitiza kuwa Serikali inataka wananchi waone miradi yao ikitekelezwa kwa vitendo kulingana na vipaumbele walivyobainisha. Katika hilo, amewataka wataalamu kutoa taarifa sahihi na kuepuka tabia ya “kupika taarifa”. Pia amekumbusha kuwa utekelezaji wa mfumo wa O&OD unapaswa kuzingatia kauli mbiu ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, inayosisitiza kutokukubali kushindwa.

“Maeneo yenye changamoto tumefundishwa twende tukayafanyie kazi. Mfumo huu unatusaidia kupanga na kutekeleza miradi kulingana na vipaumbele vya wananchi. Hapa tumekula kiapo cha uadilifu, hivyo yeyote atakayekiuka maelekezo na taratibu atawajibishwa kwa mujibu wa sheria,” amesisitiza Mnyema.

Kwa upande wake, Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Pwani, Grace Tete, amesema baada ya mafunzo hayo mkoa unatarajia kuongeza kiwango cha utekelezaji wa Mfumo wa O&OD ulioboreshwa pamoja na kuwa na mipango bora ya bajeti inayozingatia mahitaji na jitihada za jamii.

Ameongeza kuwa awali mkoa ulikuwa unakabiliwa na changamoto ya uelewa mdogo wa mfumo huo, hususan kwa vikosi kazi vya ngazi ya mkoa na halmashauri kutofahamu kikamilifu viashiria vya O&OD ulioboreshwa vilivyowekwa katika Mfumo wa IMES na namna ya kuviingiza kwenye mfumo huo. Hata hivyo, amesema kupitia mafunzo hayo, mkoa unatarajia kufanya vizuri zaidi katika utekelezaji na ufuatiliaji wa mipango ya maendeleo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777