• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Katibu Tawala Mkoa wa Pwani awataka wakandarasi kuongeza kasi katika utekelezaji wa Miradi ya REA

Posted on: September 6th, 2021

Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Mhandisi. Mwanasha Tumbo ameelekeza wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuongeza kasi na kukamilisha miradi hiyo mapema ili kuwezesha wananchi kupata huduma ya Umeme kwa wakati.

Mhandisi Mwanasha ametoa maelekezo hayo leo Septemba 6, 2021 alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Bodi ya REA Waliofika Mkoani hapo kwa Ziara ya Ukaguzi wa Miradi ya REA, Mhandisi Mwanasha amepokea taarifa ya maendeleo ya miradi pembezoni mwa Miji, Ujazilizi, na REA awamu ya tatu mzunguko wa kwanza mkoa wa Pwani.

“Kila mkandarasi afanye kazi usiku na mchana apunguze mda wa kutekeleza mradi, ongezeni vitendea kazi na watumishi ili kufanikisha azma ya Serikali ya Vijiji vyote kuwa na Umeme ifikapo 2022.” Alisisitiza Mhandisi. Mwanasha.

Alifafanua kuwa kwa sasa timu za wataalamu kutoka Ofisini kwake zinatembelea kila kata kwa Wilaya zote kufanya uhakiki wa utekelezaji miradi na kubaini changamoto zilizopo ikiwa ni pamoja na kubaini Vijiji vilivyokwishapata na ambavyo havijapata umeme.

“Baada ya kupokea taarifa ya timu hizo za ulezi, Mkuu wa Mkoa na mimi tutafanya ziara katika kila Kata kusikiliza changamoto zilizopo kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi.” Alieleza Mhandisi Mwanasha.

Akiwasilisha taarifa hiyo, Mhandisi Thomas Mbaga aliyemuwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa REA alieleza kuwa wakandarasi wapo kwenye maeneo ya utekeleza miradi na yote inaendelea vizuri.

Wajumbe wa Bodi ya REA waliokuwa kwenye kikao hicho ni Louis Accaro na Dailin Mgweno ambao baadae walielekea Bagamoyo kukagua vifaa vya Mkandarasi Sengerema Eng. Co. Ltd.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77