• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kunenge aagiza Sekondari Kitanga kukamilishwa Novemba hii

Posted on: November 10th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameiagiza Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe kuhakikisha ujenzi wa mradi wa shule ya Sekondari ya Kitanga iliyopo kata ya Msimu unakamilika kabla ya Novemba 23 mwaka huu.

Ametoa maagizo hayo leo Novemba 9, 2023 alipozungumza na wanachi wa Kitanga mara baada ya ukaguzi wa mradi wa shule hiyo ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo Mkoani humo.

Amesema hatua hiyo itasaidia wanafunzi kuondokana na adha ya kufuata huduma ya elimu umbali mrefu na akaielekeza TANESCO kufikisha Nishati ya umeme katika shule hiyo ifikapo Disemba 15, 2023.

Aidha ameielekeza Wakala wa maji na Vijijini RUWASA kuangalia namna ya kufikisha maji shuleni hapo ili wanafunzi wapate maji safi na Salama na kuwa huduma hizo za umeme na maji zitanufaisha shule pamoja na wananchi wa eneo hilo.

Pamoja na hayo, Mkuu huyo wa mkoa ametoa wito kwa wazazi kuwapa fursa watoto wa kike ya kupata elimu akisema "Ninasisitiza Elimu kwa Watoto wa kike izingatiwe, kama tunataka hamsini kwa hamsini ni lazima watoto wa kike wasomeshwe, kutokana na hilo ndio maana Rais wetu Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi kujengwa shule, Mabweni kwa ajili ya watoto wa kike."

Nae Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Fatma Nyangasa amesama, kata ya Msimbu ilikuwa na Shule moja ya Sekondari hali ambayo ilisababisha wanafunzi kutembea umbali mrefu kufuata elimu ya Sekondari.

Katika ziara hiyo Mkuu huyo wa Mkoa pia ametembelea ujenzi wa chuo cha ufundi VETA, akakagua ujenzi wa jengo la utawala la Halmashauri, kisha kuongea na wananchi katika Mkutano wa hadhara ambako alisikiliza, kutoa ufafanuzi na kutatua kero na malalamiko yaliyowasilishwa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77