• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kunenge Aomba Timu Kusimamia Urereshaji wa Huduma ya Vivuko Mafia

Posted on: October 26th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, ameomba kuundwa kwa timu maalum ili kusimamia urejeshaji wa huduma ya vivuko vya MV Kilindoni na Meli ya TSN Songosongo vinavyotoa huduma ya usafiri kati ya Nyamisati, Wilaya ya Rufiji, na Mafia, baada ya huduma hiyo kusimama tangu Oktoba 10 mwaka huu. Kunenge alitoa ombi hilo leo akiwa katika ziara ya ukaguzi na uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Mafia, akiwa ameambatana na Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa.

Kunenge alitoa wito huo katika ofisi ya Wilaya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Mafia, akiomba timu ya watu watakaosimamia urejeshaji wa huduma hizo muhimu.

Baada ya kupokea ombi hilo, Waziri Bashungwa, akiwa katika ukaguzi wa matengenezo ya Meli ya TSN Songosongo yanayosimamiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kupitia Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, aliagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi kuunda timu itakayojumuisha Ofisi ya RAS Pwani, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Uchukuzi, TEMESA, JWTZ, na wadau wengine ili kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto ya vivuko wilayani Mafia.

Hatua hii imechukuliwa baada ya vivuko vya MV Kilindoni na Meli ya TSN Songosongo kuharibika, hali iliyosababisha kukwama kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi wilayani humo.

Bashungwa alieleza kuwa serikali inatambua umuhimu wa huduma za usafiri wa vivuko katika Wilaya ya Mafia, na imechukua juhudi za kuhakikisha vivuko vyote viwili vinapatikana ili endapo kimoja kiharibike, kingine kiweze kuendelea kutoa huduma. Aliongeza kuwa serikali ina mpango wa kuongeza kivuko kingine ili kuimarisha huduma hizo.

“Serikali imechukua jitihada za haraka na makusudi, pamoja na timu hii kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, ili kurudisha huduma ya vivuko viwili,” alisema Mhe. Bashungwa.

Aidha, Waziri Bashungwa akiwa wilayani humo ameweka jiwe la msingi katika Zahanati ya Kilindoni yenye gharama ya milioni 190 kutoka Serikali Kuu, pamoja na Shule ya Sekondari ya Raphta yenye thamani ya zaidi ya milioni 500.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77