• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Maofisa Uandikishaji na waandikshaji wasaidizi Mkoani pwani wapewa mafunzo ya uandikishaji wa daftari la kudumu la Mpiga kura

Posted on: February 6th, 2020

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutoa mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa maafisa waandikishaji wa Mkoa wa Pwani walioteuliwa kwa ajili ya kusimamia zoezi hilo

Mafunzo hayo yameanza kutolewa leo katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Pwani zilizopo Mjini Kibaha yakiwajumuisha maafisa waandikishaji,maafisa waandikishaji wasaidizi,maafisa uchaguzi,na maafisa Tehama wa Halmashauri za Mkoa.

Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Kamishina wa Tume ya Uchaguzi ambaye pia ni Jaji mstaafu wa Mahakama kuu Mary Longway,alisema kuwa zoezi hilo linafanyika kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi.

Alisema kuwa,mafunzo hayo yanatolewa kwa awamu tatu na kwamba awamu ya kwanza ni kwa ajili ya ngazi ya Mkoa ,ngazi ya Jimbo na baadae ngazi ya Kata huku lengo kubwa ni kuhakikisha kila mwananchi anajiandikisha.

"Zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura ni endelevu kwakuwa tayari limepita Mikoa mingi hapa nchini na sasa tupo Pwani kwahiyo Tume imejipanga vizuri kuhakikisha kila Mtanzania anapata fursa ya kujiandikisha,"alisema Longway.

Kwa upande wake mratibu wa uandikishaji Mkoa wa Pwani Gerald Mbosoli, alisema kuwa baada ya kumaliza mafunzo hayo kwa maafisa waandikishaji hatua itakayofuata ni kuingia katika Mitaa kwa ajili ya kuendesha zoezi hilo.

Mbosoli,alisema zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la wapigakura litaanza rasmi Februari 14 na kumalizika Februari 20 mwaka huu na kwamba Tume imetoa siku Saba kwa ajili ya kuendesha zoezi hilo.

Aidha,Mbosoli amewataka wananchi wa Mkoa wa Pwani kujitokeza katika zoezi hilo kwakuwa hatua hiyo ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na kwamba asiyejiandikisha atakuwa amekosa haki na fursa ya kumchagua kiongozi anayemtaka.

Hatahivyo,awali kabla ya mafunzo hayo kufunguliwa washiriki walikula kiapo namba Sita na namba Saba vilivyohusu maafisa hao kutojihusisha na chama Cha Siasa ,Utii na uaminifu kilichoendeshwa na Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kibaha Joyce Mushi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77