• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Mchatta awafunda maafisa Tarafa ,Watendaji kata Pwani

Posted on: November 22nd, 2023

Katibu Tawala mkoa wa Pwani, ambaye pia ni Skauti Mkuu wa Tanzania Rashid Mchata, amewataka watumishi wa umma kutambua mahitaji halisi na kero zinazowakabili wananchi na kuzitafutia majibu ili kukabiliana na wimbi la malalamiko ya upatikanaji wa huduma kwenye maeneo yao.

Mchata ametoa kauli hiyo Novemba 21, 2023 wakati akifunga mafunzo ya maafisa Tarafa na watendaji Kata kutoka Halmashauri zote za mkoa wa Pwani ambao wamepata mafunzo ya kujengewa uwezo wa namna ya kutimiza majukumu yao kwa kuzingatia maadili, sheria na kanuni za utumishi wa umma.

Amesema mafunzo hayo siku mbili yaliyoandaliwa na Serikali kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi wa Umma na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo yanalenga kuwakumbusha watumishi hao namna bora ya kutimiza majukumu yao ili kuwahudumia wananchi ipasavyo.

“Badilisheni mitazamo hasi kuhusu kero zinazowakabili wananchi katika maeneo yenu, kwa kufanya hivyo mtakuwa mmeisaidia sana serikali maana kwa sasa kuna utaratibu kila mkoa unatoa taarifa ya namna inavyoshughulia changamoto, na tumeona kero nyingi anazitatua Mkuu wa mkoa, ina maana kwenye maeneo yenu hamtimizi majukumu yenu inavyotakiwa, ninaomba mkawe majibu ya wananchi huku mkijitahidi pia katika suala la ukusanyaji mapato,” amesema Mchata.

Ameongeza kuwakumbusha watumishi hao kuwa miongoni mwa maeneo yenye migogoro mingi ni ya ardhi na kuwa baadhi ya viongozi wa vijiji, mitaa na vitongoji wamekuwa sio waaminifu, wanashirikiana na madalali kuuza viwanja ambavyo vinamilikiwa na watu au taasisi kisheria, wanawatapeli watu ni eneo la kushughulikia ili kumsaidia mkuu wa mkoa.

Zaidi ya maafisa tarafa na watendaji 150 wamepatiwa mafunzo hayo ambapo kwa awamu ya pili nchini yamefanyika mikoa ya Pwani, Dar es Salaam, Dodoma, Mtwara, Lindi na Tabora.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200