• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Miradi yenye Thamani ya Zaid ya Miliion 747 yafanyiwa kazi na Mwenge wa Uhuru Bagamoyo

Posted on: April 8th, 2025

 Mwenge wa Uhuru umeendelea na Mbio zake Wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani, ambapo umezindua na kukagua jumla ya miradi sita yenye thamani ya shilingi milioni 747.5, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali katika kuimarisha maendeleo ya jamii kupitia sekta mbalimbali.

Miongoni mwa miradi hiyo ni uzinduzi wa boti ya doria na ukaguzi baharini katika soko la samaki, mradi wenye thamani ya milioni 40.603. Mradi huu unalenga kudhibiti upotevu wa mapato yatokanayo na uvuvi, kuzuia uvuvi haramu na biashara za magendo baharini, pamoja na kuimarisha usimamizi wa raslimali za uvuvi.

Mradi mwingine uliozinduliwa ni wa ununuzi wa gari na vifaa vya uzoaji taka kwa kikundi cha vijana cha SAFISHA Mazingira, kilichopo kata ya Nianjema, uliogharimu shilingi milioni 150.600. Lengo ni kuboresha usafi wa mazingira na kuwajengea vijana uwezo wa kujiajiri.

Pia, Mwenge wa Uhuru uliweka jiwe la msingi katika mradi wa upanuzi wa tanki la maji Kidomole, mradi ulioanzishwa mwaka 2024 na kugharimu shilingi milioni 334.240. Mradi huu umetekelezwa kupitia mfumo wa kielektroniki wa manunuzi (NeST) na unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi.

Aidha, jiwe la msingi liliwekwa katika mradi wa ujenzi wa boksi na kalvati barabara ya Kimalang’ombe - Makofia, wenye thamani ya shilingi milioni 121.951, unaotekelezwa na TARURA, kwa lengo la kuboresha miundombinu ya usafiri na usafirishaji katika maeneo ya vijijini.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa miradi hiyo, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ismail Ali Ussi, alisema ameridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo na kuagiza wahusika kuitunza na kuisimamia ipasavyo ili ilete tija kwa sasa na vizazi vijavyo. Alisisitiza kuwa serikali inatumia fedha nyingi kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya aina hiyo kwa manufaa ya wananchi.

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, alipokea Mwenge wa Uhuru tarehe 8 Aprili 2025 kutoka Wilaya ya Mafia, na kueleza kuwa katika mapokezi hayo, miradi sita imepitiwa ambapo mmoja umewekewa jiwe la msingi na mingine mitano kuzinduliwa.



Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200