• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Mkoa wa Pwani Wakutana na TPDC KUjadili Utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Gesi Kinyerezi -Chalinze

Posted on: December 24th, 2025

Uongozi wa Mkoa wa Pwani, ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Abubakar Kunenge, leo Desemba 24, 2025, umekutana na ugeni kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) ulioongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, Mussa Makame, kwa lengo la kujadili utekelezaji wa mradi wa bomba la gesi kutoka Kinyerezi hadi Chalinze.

Akizungumza katika kikao hicho kifupi kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Kunenge amesema mradi huo ni miongoni mwa jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuufanya Mkoa wa Pwani kuwa mkoa wa kimkakati kiuchumi.

Ameeleza kuwa utekelezaji wa mradi huo utachochea uwekezaji, hususan katika sekta ya viwanda, hali itakayoongeza uzalishaji, kuimarisha ajira na kukuza mapato ya Mkoa. Aidha, amesisitiza umuhimu wa kuwepo kwa ushirikiano wa karibu kati ya Mkoa wa Pwani na TPDC ili kuhakikisha mradi huo unatekelezwa kwa ufanisi na kwa wakati uliopangwa.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Mussa Makame, amesema kuwa sasaShirika tayari limemaliza uanisha wa njia ya kupitisha bomba hilo huku akisema  upembuzi yakinifu wa mradi huo utakamiika Aprili 2026, na kuongeza kuwa bomba la gesi litapita sambamba na njia za umeme chini ya usimamizi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).

Akiwasilisha taarifa ya kina ya mradi huo, Mhandisi Angelindile Marandu amesema kuwa gharama za utafutaji wa njia za kupitisha bomba, upembuzi yakinifu pamoja na tathmini ya athari za mradi kwa mazingira na jamii ni zaidi ya shilingi bilioni 2.3.

Aidha amesema Mradi utatekelezwa na kampuni ya Gulf Interstate Engineering kwa kushirikiana na Paulsam Geo-Engineering Co. Ltd. Ameongeza kuwa utekelezaji wa mradi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miezi 15 tangu tarehe ya kusainiwa kwa mkataba.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777