• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Mwenge wa Uhuru umemaliza mbio zake katika Halmashauri ya Chalinze

Posted on: April 10th, 2025

Mwenge wa Uhuru umekamilisha mbio zake katika Halmashauri ya Chalinze Aprili 10, 2025, ikiwa ni siku ya tisa tangu uzinduliwe katika viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha, mkoani Pwani mnamo Aprili 2, 2025.

Katika mbio hizo, Mwenge wa Uhuru umepitia wilaya saba na halmashauri tisa, ukikagua na kuzindua jumla ya miradi 64 yenye thamani ya sh trilioni 1.028. Tarehe 11 Aprili, ambapo Mwenge huo utakabidhiwa Mkoani Morogoro.

Akiwa Halmashauri ya Chalinze Aprili 10, 2025, kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ali Ussi, alikagua mradi wa machinjio ya kisasa ya Union Meat Abattoirs Ltd yaliyopo katika kijiji cha Kwazoka, Kata ya Vigwaza, mradi uliogharimu sh. bilioni 26.

Ussi aliwataka wafugaji kukimbilia fursa ya soko la ndani na nje kupitia machinjio hayo, akisema kuwa tofauti na miaka ya nyuma, sasa wafugaji wana uhakika wa soko kupitia uwekezaji unaofanywa ndani ya nchi.

“Haya yote ni matokeo ya jitihada pamoja na mapinduzi ya maendeleo yanayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na watendaji wa halmashauri, wilaya na wabunge,” alisema Ussi.

Aidha, alisifu uwekezaji mkubwa uliofanywa na Union Meat Group kwa kusogeza soko karibu na wafugaji wa ndani.

Mkurugenzi wa machinjio hayo, Mariam Mnghwani, alieleza kuwa yana uwezo wa kuchinja ng’ombe 300 kwa mstari mmoja kwa siku, pamoja na kondoo 3,000.

Pia, yana uwezo wa kuhifadhi hadi tani 150 kwa wakati mmoja na huzalisha tani tatu za nyama kwa siku, na bidhaa nyingine kama mifupa na ngozi zinazouzwa kwa wananchi.

Kwa mujibu wa Mnghwani, nyama inayozalishwa huuzwa ndani ya Tanzania na pia katika nchi za Qatar, Oman na Bahrain.

Katika siku hiyo hiyo, Ussi alizindua mradi wa maji katika vijiji vya Visezi (Chauru) na Pingo, unaotekelezwa na Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), ambao unawanufaisha wakazi 2,822 kutoka kaya 565.

Mradi huo umekamilika kwa asilimia 100 na umetumia zaidi ya shilingi milioni 206.878, sawa na asilimia 68.78 ya bajeti, chini ya mkandarasi mzawa Sajo Civil Engineering & Building Construction Ltd.

Awali akipokea Mwenge huo kutoka Kibaha, Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, alisema Mwenge wa Uhuru umetembelea miradi saba katika Halmashauri ya Chalinze yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 28.9.

Miradi mingine iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa vyumba 50 vya biashara katika kituo cha mabasi cha Chalinze, mradi unaotekelezwa na Halmashauri hiyo kwa gharama ya shilingi milioni 216.5.

Vilevile, Mwenge umetembelea ujenzi wa shule ya Amali Msoga na mradi wa uwekaji wa taa 50 za barabarani katika kijiji cha Ruvu, Kata ya Vigwaza, uliogharimu sh.milioni 185.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777