• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Ndikilo awataka waumini wa dini ya Kiislam Mkopani Pwani Kuendelea kuliombea Taifa.

Posted on: April 26th, 2021

Muu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo ametoa rai kwa waumini wa dini ya Kiislam wakati wakiendelea na mfungo wa mwezi wa Ramadhani kutumia muda kuliombea Taifa  kuendelee kuwa tulivu, kumuombea Rais mama Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wakatekeleze majukumu yao kama walivyopanga.

Ndikilo alitoa rai hiyo katika hafla fupi ya futari aliyoiandaa kwa ajili ya watu mbalimbali wa mkoa huo kushiriki futari pamoja nyumbani kwake.

Ndikilo alitumia nafasi hiyo kuwasihi waumini wa dini hiyo kutumia muda wa mfungo kuliombea Taifa na kila Jambo lililopangwa na Rais na wasaidizi wake lifanyike kwa ufulivu.

Aidha alitoa rai kwa viongozi wa Halmashauri kuhakikisha fedha zinazopitishwa kwenye bajeti na kufika kwenye maeneo yao zinasimamiwa vizuri.

Alisema tayari bajeti ya zaidi ya shilingi bilion mbili ya mkoa huo imeshapitishwa Bunngeni hivyo ni vema zitumike kama zilivyolengwa na Halmashauri zisiangukie katika hati chafu

Aliwataka viongozi ngazi ya Wilaya kuendelea kuwapa ushirikiano wawekezaji wanaofika kwenye maeneo yao ili wapate huduma zote zinazotakiwa kwa wakati.

Akizungumzia katika suala la Elimu alisema Mkoa huo umejipanga kuinua kiwango cha ufaulu kwa wahitimu kuanzia ngazi ya msingi na kuendelea kushika namba nzuri kitaifa.

Ndikilo alisisitiza suala la wenye dhamana ya kutoa haki kuendea kiufanya hivyo kwa wananchi hususani wanyonge.

Aliwakumbusha wakazi wa mkoa huo kuendelea kukata bima ya afya ili kuondoa usumbufu na malipo ya gharama kubwa pindi wanapoumwa.

" Hadi sasa ni asilimia 5.1 ya wakazi wa mkoa huu ambao Wana bima ya afya, tambueni kuna faida ya kukata bima kwa familia magon wa hayapigi hodi na hujui yatakukuta ukiwa na hali gani" alisema

Katika neno lake la shukrani kwa waliohudhuria kwenye futari hiyo aliwasihi wafanyabiashara kuwasaidia waumini was dini ya Kiislam kwa kuwarahisishia upatikanaji wa bidhaa wanazobitaji kwa ajili ya futari kwa gharama ileile na kuepuka kutumia kipindi hkii kujinufaisha.

Mkuu wa mkoa alitoa futari kwa vituo vitano vya kulelea watoto yatima iliyogharimu kiasi cha Shilingi Milion mbili

Akishukuru baada ya hafla hiyo Shekhe mkuu wa mkoa wa Pwani Hamis Mtupa alimpongeza mkuu huyo wa mkoa kwa kuwakumbuka waumini wa dini ya Kiislam na majirani zake na kufuturu nao pamoja kwani kwa njia hiyo inamuweka karibu na Mungu.

Alionya baadhi ya watu ambao wanatumia vituo vya watoto yatima kujinufaisha huku akisisitiza kila mmoja kuwaonea huruma watoto yatima.

“hgyuhjhbhju Kama kuna mtu anamkashifu Mungu asiachwe kwani kwa kipindi tulichonacho tuendelee kuwa karibu na Mungu"


Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88