• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Pwani yakamalisha Mapokezi ya Mbio za Mwenge

Posted on: April 25th, 2024

Mkoa wa Pwani umelazimika kubadili baadhi ya miradi itakayopitiwa na kukaguliwa na Mwenge wa Uhuru kutokana na changamoto ya mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko kwenye baadhi ya maeneo.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameyasema hayo leo April 25, 2024 ofisini kwake wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya maandalizi ya mapokezi ya Mbio za Mwenge wa huru Mkoani humo.

Amesema kuwa licha ya changamoto ya mafuriko katika baadhi ya maeneo, mkoa huo umekamilisha maandalizi kulingana na vigezo vilivyobainishwa ambapo Mwenge huo utapokewa April 29, 2024 kwenye viwanja vya Bwawani ukitokea mkoani Morogoro na kuwa wapo vizuri kuhakikisha Mwenge unakimbizwa maeneo yote yaliyopangwa kupitiwa.

"Mwaka jana mkoa wetu ulikuwa wa 12 Kitaifa, miradi ilikuwa 99 yenye thamani ya zaidi ya sh. trilioni 4.4, kwa mwaka huu tumejizatiti kufanya vizuri zaidi," amefafanua Kunenge na akawahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi ili kufanikisha mapokezi na mbio za Mwenge katika mkoa huo.

Ameeleza kuwa Mwenge wa Uhuru bado upo Mkoani Morogoro na unatarajiwa kupokewa mkoani Pwani april 29, 2024 ambapo utakimbizwa katika Halmashauri tisa hadi Mei 8 watakapokabidhi kwa mkoa wa Dar es Salaam.

Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka huu 2024, ni "Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa ujenzi wa Taifa Endelevu" ukiwa pia na jumbe zingine ambazo ni "Kuzuia Rushwa ni jukumu Lako na Langu; Tutimize wajibu wetu," "Jamii iongeze kutokomeza Ukimwi," "Ziro Malaria inaanza na Mimi - nachukua hatua kuitokomeza" na “Lishe sio kujaza Tumbo; Zingatia unachokula."

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200