• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Pwani yapitisha mapendekezo ya Mpango wa bajeti shilingi bilioni 298.5 kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Posted on: March 16th, 2021

Kikaocha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Pwani kiimepitisha mapendekezo ya Mpango na bajeti Shilingi Biln 298.5 ya mwaka 2021/2022 ambayo ni ongezeko la asilimia 9.38 ukilinganisha na bajeti ya mwaka 2020/2021.

Aliwasilisha rasimu ya mapendekezo ya bajeti katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Machi 15, mjini Kibaha, Mchumi katika ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Gerald Mbosori alisema utekelezaji wa Mpango na bajeti utaongozwa na dira ya Taifa ya Maendeleo ya miaka mitano.

Mbosori alisema vipaumbele vya Mkoa huo kwa mwaka 2021/2022 ni pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya Sekta ya Elimu na afya, kubuni vyanzo vipya vya mapato ya ndani na uandaaji wa Mazingira wezeshi kwa ajili ya uwekezaji na ujenzi wa Viwanda.

Mchumi huyo alisema kwa mwaka 2020/2021 Mkoa huo uliidhinishiwa matumizi ya Shilingi Bilion 272.9 ambapo hadi kufikia Mwezi Desemba sekretarieti ya Mkoa huo imekusanya maduhuli ya Shilingi Bilion 3.7 sawa na asilimia 6.12 huku Halmashauri zikikusanya Shilingi Bilion 16.6 sawa na asilimia 43.04.

Pia aliongezea kuwa vipo vikwazo vinavyosababisha baadhi ya Halmashauri kutofikia malengo kuwa ni pamoja na wigo mdogo wa vyanzo vya mapato, usimamizi usioridhisha kwa baadhi ya vyanzo kama leseni za biashara, vileo na ushuru wa nyumba za kulala na upungufu wa vitendea kazi magari na pikipiki kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji.

Akifunga kikao hicho ambacho kilipitisha mapendekezo hayo ya bajeti Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo alitoa wito kwa Halmashauri zote za Mkoani hapa kuhakikisha wanasimamia na kubuni vyanzo vipya vya mapato ya ndani.

Ndikilo alisema uwepo wa vyanzo vya mapato vya ndani inasaidia kufanya miradi ya maendeleo kwa wakati bila kusubiri fedha kutokana Serikali kuu, huku akisisitiza wataalamu kuwa makini na kujenga uaminifu katika ukusanyaji wa mapato.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777