• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Pwani yatia fora Utekelezaji Ilani ya CCM

Posted on: November 22nd, 2023

Serikali imetoa kiasi cha shilingi trilioni 1.19 kwa Mkoa wa Pwani kati ya Mach 2021 na Juni 2023 kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo imeainishwa kwenye Ilani ya uchaguzi ya chama cha Mapinduzi - CCM.

Mkuu wa mkoa wa Pwani ambaye ni Kamisaa wa Chama hicho kwa mkoa huo Abubakar Kunenge, ameyasema hayo leo Novemba 22, 2023 kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama hicho mkoa kilichofanyika kupokea taarifa ya utekelezaji Ilani ambayo imetaja miradi mbalimbali inayotekelezwa mkoani humo.

Katika kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere kilichopo eneo la kwa Mfipa wilayani Kibaha, Kunenge amesema utekelezaji wa miradi hiyo ni mafanikio makubwa yaliyofanywa na serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ambae amepeleka fedha nyingi mkoani humo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta za afya, elimu, nishati, maji na miundombinu ya barabara.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Pwani, Mwinshehe Mlao, amesema chama kimeridhika na miradi iliyotekelezwa mkoani humo na kwamba serikali imetimiza matakwa yaliyopo kwenye Ilani ya CCM katika kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Nae Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Pwani Benard Ghatty amesema hadi sasa serikali imefikisha asilimia 98 ya utekelezaji wa miradi mkoani humo na kwamba sehemu iliyosalia ni ndogo ambapo wanaamini kuwa miradi yote itakamilika ifikapo mwishoni mwa mwezi Desemba mwaka huu.

“Tumepitia, tumekagua na tumeona namna miradi ilivyotekelezwa katika maeneo mbalimbali mkoani Pwani, kuna sehemu ndogo tu ambazo zimesalia kukamilishwa, tunaamini miradi hiyo itakamilika na watanzania watahabarishwa miradi hiyo itakapokamilika," amesema Ghatty.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200