• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RAS Pwani ahimiza ushirikiano kwa Watumishi

Posted on: May 15th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani ambaye pia ni Skauti Mkuu wa Tanzania Rashid Mchatta amewaasa watumishi mkoani humo kujenga tabia ya ushirikiano na kuepuka migogoro au kuchongeana kazini ili kutoa huduma bora kwa lengo la kuwaletea wananchi maendeleo.

Mchatta ameyasema hayo leo Mei 15, 2024 wakati akiongea na watumishi wa Halmashauri hiyo kwenye kikao kilicholenga kusikiliza na kutatua kero na malalamiko na kupata maoni yao kwenye ukumbi wa Ofisi za Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.

Amewaeleza kuwa iwapo kuna changamoto zinazowakabili kwa ujumla wao au kwa mmoja mmoja za kiutumishi ni vyema wakajenga utamaduni wa kufuatilia masuala yao kwa kuzingatia utaratibu usioleta kadhia.

"Hili linaenda sambamba na suala la utunzaji siri ambalo kwa watumishi ni jambo muhimu sana, haifai kutoa mambo ya ofisini nje bila kufuata utaratibu, hali hiyo inaweza kuwajengea sura na mambo yanayosababisha kujidharaulisha, na utumishi wa umma ni ufahari 'prestige," mtumishi wa umma ni mtu wa kufuata utaratibu wa hali ya juu," amesema Mchatta.

Amesisitiza suala la kila mtumishi kuwa na maandalizi mazuri, kuwahi kazini na kutekeleza majukumu yake kwa bidii ili kuleta tija katika eneo lake la kutekeleza majukumu yake kwenye halmashauri hiyo.

Aidha, katika kikao hicho, Mchatta amewapongeza watumishi hao kwa mchango wao wa kuongeza mapato ya ndani ya halmashauri hiyo ambayo yatasaidia kutoa huduma kwa wananchi.

Pia katika kufanya vizuri kwenye matumizi ya mifumo ya mawasiliano ya Serikali ambapo halmashauri hiyo inashika nafasi ya pili kitaifa katika matumizi ya mfumo wa PEPMIS na akahimiza kuitumia mifumo hiyo kwa kuzingatia taratibu na maadili yake.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200