• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RAS Pwani azitaka Halmashauri kuongeza kasi ya ukamilishaji wa Madarasa

Posted on: June 22nd, 2023

Katibu Tawala mkoa wa Pwani Rashid Mchata amewataka viongozi wa Halmashauri zote za mkoa huo kuongeza kasi ya usimamizi na ujenzi wa vyumba vya madarasa unaotekelezwa kupitia mradi wa BOOST.

                                      

Mchata ambaye pia ni Skauti Mkuu wa Tanzania ametoa kauli hiyo leo Juni 21, 2023 wakati akizungumza na watumishi na madiwani kwenye kikao maalum cha baraza la Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze lililokutana kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali-CAG.

Amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa unaondelea hivyo watendaji waongeze bidii ili yakamilike kwa wakati na kwa kiwango ili kutoa fursa kwa wanafunzi kuanza masomo yao mapema mwaka 2024.

“Serikali imetoa fedha nyingi kupitia mradi wa BOOST kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa lakini kasi yenu bado ni ndogo, nnaomba muongeze bidii ili yakamilike kwa wakati,” amesema Mchata.

Katika hatua nyingine, Karibu Tawala huyo Ali tumia fursa hiyo kuzipongeza halmashauri hiyo kwa kupunguza hoja za ukaguzi.





RAS Pwani azitaka hamashauri kuongeza kasi ukamilishaji madarasa*

Katibu Tawala mkoa wa Pwani Rashid Mchata amewataka viongozi wa Halmashauri zote za mkoa huo kuongeza kasi ya usimamizi na ujenzi wa vyumba vya madarasa unaotekelezwa kupitia mradi wa BOOST.

Mchata ambaye pia ni Skauti Mkuu wa Tanzania ametoa kauli hiyo leo Juni 21, 2023 wakati akizungumza na watumishi na madiwani kwenye kikao maalum cha baraza la Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze lililokutana kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali-CAG.

Amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa unaondelea hivyo watendaji waongeze  bidii ili yakamilike kwa wakati na kwa kiwango ili kutoa fursa kwa wanafunzi kuanza masomo yao  mapema mwaka 2024.

“Serikali imetoa fedha nyingi kupitia mradi wa BOOST kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa lakini kasi yenu bado ni ndogo, nnaomba muongeze bidii ili yakamilike kwa wakati,” amesema Mchata.

Katika hatua nyingine, Karibu Tawala huyo Ali tumia fursa hiyo kuzipongeza halmashauri hiyo kwa kupunguza hoja za ukaguzi.









RAS Pwani azitaka hamashauri kuongeza kasi ukamilishaji madarasa*

Katibu Tawala mkoa wa Pwani Rashid Mchata amewataka viongozi wa Halmashauri zote za mkoa huo kuongeza kasi ya usimamizi na ujenzi wa vyumba vya madarasa unaotekelezwa kupitia mradi wa BOOST.

Mchata ambaye pia ni Skauti Mkuu wa Tanzania ametoa kauli hiyo leo Juni 21, 2023 wakati akizungumza na watumishi na madiwani kwenye kikao maalum cha baraza la Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze lililokutana kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali-CAG.

Amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa unaondelea hivyo watendaji waongeze  bidii ili yakamilike kwa wakati na kwa kiwango ili kutoa fursa kwa wanafunzi kuanza masomo yao  mapema mwaka 2024.

“Serikali imetoa fedha nyingi kupitia mradi wa BOOST kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa lakini kasi yenu bado ni ndogo, nnaomba muongeze bidii ili yakamilike kwa wakati,” amesema Mchata.

Katika hatua nyingine, Karibu Tawala huyo Ali tumia fursa hiyo kuzipongeza halmashauri hiyo kwa kupunguza hoja za ukaguzi.








Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200