• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge aelekeza ufaulu wa juu Shule ya Sekondari ya Wasichana Bibi Titi Mohammed Rufiji

Posted on: November 29th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge ameiagiza idara ya elimu mkoa kusimamia kikamilifu Shule Maalum ya Sekondari ya wasichana wenye vipaji ya Bibi Titi Mohammed iliyopo Utete Rufiji ili iwe mfano wa kuigwa kwa kutoa elimu na ufaulul wa juu kati ya shule kumi maalum za Sekondari za wasichana zilizojengwa na Serikali nchini.

Akipokea vitanda 40 vilivyogharimu shilingi milioni 12 kutoka Benki ya NMB kwa malazi ya wanafunzi 80, sanjali na makasha ya maziwa kutoka kampuni ya ASAS, Kunenge alieleza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anaonyesha jitihada kuboresha sekta ya elimu, hivyo idara ya elimu haina budi kusimamia jitihada hizo.

"Rais amedhamiria kuboresha mazingira ya sekta ya elimu na tayari ameanzisha shule za Sekondari maalum za wasichana kumi ambapo nyingine 16 awamu ya pili zitajengwa nchi nzima kufikia idadi ya shule 26, pia shule za Msingi 219 na za Sekondari 718 zimejengwa," alifafanua Kunenge.

RC Kunenge pia ameielekeza Halmashauri ya wilaya ya Rufiji kupanga Mji katika eneo palipojengwa shule hiyo ya Bibi Titi Mohamed ili Mji ukue.

Akikabidhi vitanda hivyo, Mkuu wa Matawi na Mauzo wa Benki ya NMB Donatus Richard, ameeleza kuwa wametoa vitanda 40 ikiwa ni sehemu ya asilimia moja wanayorejesha kwa jamii kutoka kwenye faida.

Awali, Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowelle ametoa shukrani kwa Serikali kwa ujenzi wa shule ya Sekondari Bibi Titi Mohammed ambayo imegharimu shilingi Bilioni 4.1.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200