• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Rc Kunenge ahaidi kutekeleza maagizo yote yaliyotolewa na waziri Mkuu Majaliwa

Posted on: November 29th, 2022

Hayo ameysema wakati  Novemba 29,2022 wakiti akitoa  akitoa Salaam za Mkoa Wilayani Kisarawe kwenye ziara hiyo amemshukuru Mhe Waziri Mkuu kwa ziara yake ya siku tatu.

"Umetuonesha ni jinsi gani tufanye kazi kama Watumishi wa Umma. Na umetueleza kutambua sisi ni wahudumu wa Wananchi na waratibu wa kutatua Changamoto zao' Kunenge ameeleza Wakati unapita kila sehemu umekuwa ukitoa maelekezo tumeyachukua na tunayafanyia kazi Ameeleza Kunenge.

Ameeleza ataendelea kuhakisha Mkoa unaongeza ukasanyaji wa mapato na kusimamia Matumizi ya mapato yote.

Ameeleza kuwa Mkoa wa Pwani unandaa Mipango ya Bajeti yake kwa Pamoja na Taasisi zote za Serikali ngazi ya Mkoa ili kuwahudumia Wananchi kikamilifu na kutatua kero zao.

Ameeleza atakuwa na Mikataba ya kiutendaji na wakuu bwa Wilaya na Watendaji wengine ndani ya Mkoa kujipima na kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Sita.

Ameeleza kuwa ameelekeza Madiwani wa Mkoa huo wameendelea kwenda mafunzo ya Uchumi na kuongeza Mapato ili wasimamie Halmashauri zao.

Mhe Waziri Mkuu akiwa Wilayan Kisarawe ameetembelea Mradi wa DAWASA, amekagua Ujenzi wa Shule ya Sekondari, Hospital ya Wilaya ya Kisarawe na Jengo la Utwala la Halmshauri ya Kisarawe na Kuongea na Watumishi.

Akizungumza na Watumishi wa Umma Wilayan Kisarawe Mhe Waziri Mkuu, Amewataka Watumishi wote wa Umma kusimamia Miradi inayotekelezwa Mkoa wa Pwani.

Katika Hatua Nyingine amemuondoa Kwenye nafasi ya Ukurugenzi Kaimu Mkurugenzi wa Kisarawe James Chitumbi kwa kushindwa kutekeleza Majukumu ya Ukurugenzi ipasavyo.

Amesisitiza Taarifa za Fedha zimarishwe na kutaka Mapato yote ya Halmshauri yanayokusanywa kupelekwa Benki kabla ya Matumizi..

Amezitaka Halmshauri kusimamia Hojanza CAG zote na kuzjfanyia kazi na Viongozi wa Mkoa Kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji na kutenga maeneo ya Halmshauri kwa ajili ya Mifugo.

Mhe. Waziri Mkuu akiwa Mkaoni Pwani ameetembelea Wilaya ya Mkuranga, Kibiti na Kisarawe.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77