• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge ahimiza miradi ya TASAF kukamilishwa kwa wakati

Posted on: September 15th, 2023

Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewataka waratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Halmashauri zote za mkoa huo kuhakikisha miradi yote iliyochini ya mfuko huo inakamilika kwa wakati na kuendana na thamani ya fedha iliyotolewa.
Kunenge ametoa kauli hiyo leo Septemba 15, 2023 wakati akifungua kikao cha mwaka cha kujadili utekelezaji wa shughuli za TASAF (III) awamu ya pili ambapo alipokea taarifa pamoja na kutoa tuzo kwa Halmashauri ambazo zimefanya vizuri kwenye miradi mbalimbali.
Amesema, Serikali imetoa fedha nyingi kukamilisha miradi ya maendeleo kwa wananchi ikiwemo Ujenzi wa Shule, maji, barabara na kilimo lakini kumekuwa na changamoto ya miradi hiyo kutokamilika kwa wakati.
Amesema kitendo cha baadhi ya miradi kutokamilika kwa wakati kinamkera Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa sababu linakwamisha lengo la kuwahudumia wananchi wake hususani wanaotoka katika kaya masikini.
“Mfuko huu unasimamiwa moja kwa moja na Ofisi ya Rais na amefanya hivyo kwa sababu ya umuhimu na uzito wa jambo hili, sasa inaumiza kuona fedha nyingi anazozitoa kwa ajili ya kukamilisha miradi inasuasua, sambamba na walengwa wa mfuko huo kutonufaika kwa sababu ambazo hazina tija, waratibu wote wa TASAF katika kila wilaya za mkoa huu, simamieni kikamilifu suala hilo hili,” amesema Kunenge.
Aidha amewataka maofisa wanoshughulika na mifumo ya utunzaji kumbukumbu za wanufaika wa TASAF kuwaondoa wanufaika ambao tayari wameondoka kwenye umasikini uliokithiri baada ya kuwezeshwa ili wengine waingizwe kwenye Mpango huo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200