• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge akagua Miradi ya Maendeleo Kibiti

Posted on: November 8th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge, amemuagiza mkandarasi M/S Trinity Manufacturing Services Ltd. anaejenga mradi wa maji Kijiji cha Mjawa wilayani Kibiti kuhakikisha anakamilisha ujenzi huo ifikapo mwezi Disemba mwaka huu.

Pia amemuagiza Mkandarasi wa ujenzi wa mradi wa maji, Kijiji cha Jaribu Mpakani, Broadway Eng. Co. Ltd. kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha ujenzi huo kabla ya Mwezi April, 2024.

Kunenge ametoa maagizo leo Novemba 7, 2023 akiwa kwenye ziara ya kikazi wilayani Kibiti kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Pia amewaelekeza wakandarasi wa maji kuenda na kasi ya Serikali na Rais Samia Suluhu Hassan ambae amedhamiria kumtua mama ndoo kichwani.

Ameeleza kuwa kiu ya Serikali ni kuongeza kiwango cha upatikanaji wa maji Safi na salama mijini kwa asilimia 95 na Vijijini kwa asilimia 85 ambapo kwa mkoa wa Pwani umefikia asilimia 86 ya upatikanaji wa maji safi na salama.

Aidha, RC kunenge ametembelea mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Jaribu ambayo imejengwa ili kupunguza changamoto ya wanafunzi wanaotoka Mjawa kutembea umbali mrefu kufuata elimu ya Sekondari ambako ameelezwa kuwa bado kinahitajika kiasi cha shilingi milioni 210 kukamilisha ujenzi wa shule hiyo.

Mkuu huyo wa mkoa ameahidi kuzungumza na Katibu Tawala mkoa pamoja na Mkurugenzi wa halmashauri hiyo kuangalia namna ya kulitafutia ufumbuzi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200