• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge Akemea siasa ndani ya Nyumba za ibada

Posted on: September 22nd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amekemea vikali tabia ya kutumia nyumba za ibada kwa masuala ya siasa, akisema hali hiyo inachangia kwa kiasi kikubwa kuleta mvurugano katika jamii.

Kunenge aliyasema hayo Septemba 21 katika sherehe za Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.W.) zilizofanyika mjini Kibaha, zilizoratibiwa na Baraza la Waislamu Mkoa wa Pwani (BAKWATA).

“Ni muhimu viongozi wa dini wajiepushe na siasa ili tuendelee kuhubiri maneno ya kiimani zaidi,” alisema Kunenge.

Pia aliwataka viongozi wa dini zote kuhubiri zaidi suala la amani na kuepuka siasa, akisisitiza umuhimu wa kulinda amani ambayo imejengwa kwa muda mrefu na kusema kuwa, "tusiharibu amani kwa namna yoyote ile."

Katika hatua nyingine, Kunenge aliwahimiza wazazi kuimarisha malezi ya watoto wao ili kukabiliana na vitendo viovu vinavyosababisha mmomonyoko wa maadili katika jamii. Akizungumzia ongezeko la maadili mabaya, alisema serikali inaendelea na jitihada za kupambana na hali hii ambayo ni tishio kwa ustawi wa jamii.

Naye, Mufti wa Tanzania, Shekhe Abubakar Zubeir, alisisitiza umuhimu wa wananchi kuheshimiana, akibainisha kuwa ukosefu wa heshima ni chanzo kikubwa cha uvunjifu wa amani. Aidha, alieleza kuwa baadhi ya tabia kama kutukana viongozi ni dalili ya ukosefu wa maadili mema.

“Kiongozi yeyote lazima aheshimiwe, na ni wajibu wa kila mmoja kutunza maadili ndani ya jamii,” alisema Mufti Zubeir.

Kwa upande wake, Shekhe wa Mkoa wa Pwani, Khamis Mtupa, aliwahimiza waumini kudumisha amani iliyopo, akisema kuwa kila kiumbe kinahitaji amani na kwamba usalama unategemea uwepo wa amani.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200