• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge amekabidhi Vishwambi 345 kwa maafisa Kilimo wa wilaya Pwani

Posted on: November 23rd, 2023

Mkuu wa mkoa Pwani Abubakar Kunenge amewakabidhi Vishkwambi 345 Maofisa Kilimo wa Wilaya za Mkoa huo na kuwataka watumie vifaa kzi hivyo kusidia wakulima uleta tija na kuongeza mnyororo wa thamani.

Zoezi la makabidhiano  ya vishikwambii hivyo limefanyika Novemba 23 mjini Kibaha.

Akizungumza mara ya kukabidhi viskwambi hivyo Kunenge amesema kuwa matumizi mengine ni kusajili wakulima ambao bado hawajaingizwa kwenye mfumo na kuboresha taarifa za wale waliosajiliwa ili wahudumiwe kwa idadi na kujua mahitaji yao ya pembejeo.

"Ili kilimo kiwe na tija lazima wataalamu wawe na vifaa vya kisasa na hata iwe rahisi kutoa taarifa juu ya maendeleo ya kilimo au kama kuna changamoto,"amesema Kunenge.

Amesema kuwa kupitia vifaa hivyo wtaweza kutoa taarifa sahihi za pembejeo kwa wakulima kuanzia afya ya udongo, mbegu bora, mabadiliko ya hali ya hewa na matumizi sahihi ya mbolea.

"Tunaipongeza serikali kwa kutoa pikipiki 129, vifaa vya kupimia udongo sita na sasa Vishikwambi hii inaonyesha jitihada za Rais Dk Samia Suluhu Hassan za kutaka kubadili kilimo ili kiwe na tija kwa wakulima na nchi,"amesema Kunenge.

Aidha amesema kuwa mkoa umepata mafanikio makubwa kwa sasa ambapo ubora wa zao la korosho ya daraja la kwanza umeongezeka kutoka asilimia 12 hadi 96.6.

"Zao la ufuta ubora na uzaliahaji umeongezeka na tnaongeza nguvu kwenye mazao yakiwemo katani, mahindi, miwa, mihogo, chikichi, mpunga na mbaazi pamoja na ndizi ambapo tayari kuna wawekezaji wakubwa wameshajitokeza,"amesema Kunenge.

Ameongeza kuwa kikubwa ni maofisa hao kuongeza mnyororo wa thamani kupitia mazao ya kibiashara ambayo yanaongeza pato kwa wakulima.

Kwa upande wake Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Shangwe Twamala , amesema wanaishukuru Wizara ya Kilimo kwa kuwapatia vifaa hivyo.

Twamala amesema kuwa vifaa hivyo vitasaidia wakati wa kutoa taarifa mbalimbali kwa Wizara na kutoa elimu kwa wakulima juu ya masuala mbalimbali ya kilimo.

Naye Ofisa Kilimo wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Joseph Njau amesema kuwa vifaa hivyo vitawawezesha kutekeleza majukumu yao na kuongeza uzalishaji na kuleta tija kwa wakulima kwenye maeneo yao.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200