• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge Amshukuru Rais Samia na Waziri Bashe kwa Maendeleo ya Kilimo Pwani.

Posted on: October 6th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, ametoa shukrani zake kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, kwa kuunga mkono maendeleo ya kilimo mkoani Pwani kupitia nyanja mbalimbali kama pembejeo, fedha za miradi, na zana za kilimo.

Akizungumza jana katika hafla ya uzinduzi wa kiatilifu hai cha kuangamiza wadudu waharibifu wa mazao, THURISAVE 24, iliyofanyika kwenye kiwanda cha Heaster Bioscience kilichopo Ruvu, Mhe. Kunenge alisema msaada wa serikali umeleta matokeo chanya katika sekta ya kilimo mkoani humo. Alieleza kuwa Mhe. Bashe amekuwa mstari wa mbele kusaidia mkoa huo kwa kutoa matrekta, maturubai, na kuimarisha mnyororo wa thamani wa zao la korosho.

“Uliona juhudi zetu na matokeo yanaonekana, umetusaidia kwa mambo mengi, ikiwemo matrekta, maturubai, na kuimarisha sekta nzima ya korosho. Umetusaidia sana, na mimi nakushukuru sana,” alisema Mhe. Kunenge.

Aidha, alisema matrekta yaliyopokelewa yameshaanza kutumika, na Mradi wa BBT (Building Better Tomorrow) uko katika hatua ya kuandaa udongo. Aliongeza kuwa mradi mkubwa wa kilimo cha ndizi na chikichi utakuwa mojawapo ya miradi mikubwa barani Afrika na duniani.

Mhe. Kunenge pia alimwomba Mhe. Bashe kuendelea kutoa muongozo wa namna ya kuongeza uzalishaji wa mazao kutoka mkoani Pwani ili kutimiza azma ya Mhe. Rais Samia ya kuhakikisha Tanzania inakuwa taifa la kulisha dunia, akisisitiza kwamba Pwani inaweza kuwa mfano wa mafanikio katika kilimo.

Kwa upande wake, Waziri Bashe alikipongeza kiwanda cha Heaster Bioscience kwa kubuni kiatilifu kinachotumia viumbe hai badala ya kemikali, akisema kuwa ni suluhisho rafiki kwa mazingira katika kudhibiti viwavijeshi vamizi ambao ni tishio kwa wakulima wa mahindi. Alisisitiza umuhimu wa kuendelea na tafiti zaidi katika sekta ya biochemical na bio-fertilizers kwa kushirikiana na kiwanda kikubwa cha kibaolojia ambacho kipo katika hatua za mwisho za ujenzi.

Waziri Bashe pia alimwagiza Mkurugenzi wa Mazao kuhakikisha kiatilifu hicho kinanunuliwa na kusambazwa kwa wakulima kupitia fedha zitakazotengwa kwa ajili ya viatilifu.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200