• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge aonya Viongozi wanaosababisha migogoro ya Ardhi

Posted on: August 11th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge amesema hatowavumilia watendaji wa Serikali na chama ambao watabainika kuwa ndio chanzo cha migogoro ya ardhi katika kata ya Mapinga.

Mhe. Kunenge ameyasema hayo leo Agosti 10, 2022 wakati akipokea taarifa ya Kamati maalum iliyoundwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuchunguza mgogoro wa ardhi uliopo katika kata ya Mapinga Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo.

Kunenge amesema kuwa Serikali ya Mkoa haitamfumbia macho Mwananchi yeyote yule ambae nae atabainika kuwa ni chanzo cha mgogoro wa ardhi katika eneo hilo

Baada ya kupokea taarifa hiyo, Mhe. Kunenge amemuahidi Mhe. Mabula kuwa ataipitia kwa kina na wale wote ambao wametajwa kuwa ni chanzo cha mgogoro atahakikisha kuwa wanachukuliwa hatua za kisheria.

“Mhe. Waziri, nimepokea taarifa hii na naahidi kuwa nitaifanyia kazi na wale wote watakaobainika kuwa ni wahusika tutawachukulia hatua stahiki, hatutamuonea mtu wala hatutampendelea mtu tutatenda haki kwani hakuna aliye juu ya sheria,” alisema Mhe. Kunenge.

Pia ameeleza kuwa hata kama ni viongozi wa chama cha Mapinduzi wametajwa kuwa nao ni tatizo basi atashughulika nao kwa mujibu wa taratibu za chama.

Akikabidhi taarifa hiyo, Waziri wa Ardhi Nyumba Maendelo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula amesama kuwa lengo la kamati hiyo ni kutatua migogoro katika eneo hilo pia na sehemu nyingine nchini.

Amesema kuwa kamati hiyo imefanya kazi kwa umakini zaidi na kuwahoji watu mbalimbali ambapo wamebaini kuwa chanzo cha migogoro hiyo ni pamoja na wenyeviti wa vijiji na Vitongoji kuuza ardhi kiholela.

Waziri Mabula ametoa onyo kwa wenyeviti hao kuacha mara moja tabia ya kujipa madaraka ya kugawa ardhi bila ya kufuata sheria, kanuni na taratibu.

Mhe. Mabula alifafanua kuwa mkoa wa pwani ni Mkoa wa mfano kitaifa katika suala zima la uwekezaji na kwamba Mhe. Rais anautizama kwa macho mawili, hivyo ni lazima kumaliza migogoro yote ya ardhi katika mkoa huo ili uwekezaji usikwamishwe.

Aidha ameezielekeza Halmashauri zote nchini kuanza kufanya ukaguzi wa mashamba pori na orodha hiyo ikabidhiwe kwake kwani kuwepo kwa mashmba pori mengi nacho ni chanzo cha migogoro.

Pia ametoa rai kwa wananchi wote kuwa kama wanahitaji maeneo waende Halmashauri husika ambapo ndipo atapata eneo sahihi na si kwa wenyeviti wala Watendaji.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200