• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC KUNENGE AWAAPISHA WAJUMBE WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA WILAYA YA BAGAMOYO

Posted on: April 11th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge amewataka wajumbe wa baraza la Ardhi wilaya ya Bagamoyo kufanya kazi kwa weledi bila kumuogopa mtu kwani hakuna aliye juu ya sheria.

Aidha amewataka kusimamia maadili katika utendaji wao wa kazi kwa kuondoa migogoro ya ardhi kwa wakati, kuondoa ugumu ambao unaweza kutokea endapo mashauri yatachelewa.

Mhe. Kunenge ameyasema hayo leo April 11, 2022 mjini Bagamoyo alipokuwa akiwaapisha wajumbe wa baraza la ardhi la Wilaya hiyo, Amesema katika utawala wa sheria hakuna aliye juu ya sheria hivyo wajumbe walioapishwa wanatakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia ufahamu, ujuzi na utaalamu na kuishi kulingana na majukumu yao.

" Mimi sitawauliza juu ya utendaji wenu nitajua ufanisi wenu kwa kuangalia ni kiwango gani mtatatua changamoto kwa jamii inayowazunguka na niwaambie hatutarajii tuwe na watu ambao hawatakuwa msaada. Tukiona hamna msaada tutawabadilisha" alisema Kunenge.

Kunenga amesema atasikitika endapo maamuzi yanayotolewa na baraza hilo asilimia kubwa yakaonekana ni batili.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Abdallah amempongeza Mkuu wa Mkoa kwa kuwaapisha wajumbe hao ambapo amesema kukosekana kwa baraza hilo ilikuwa kero kwa wananchi ambao walikuwa wanalazimika kwenda kibaha kufuatilia mashauri yao.

Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na nyumba wilaya ya Kibaha Sara Mbuga ambaye alimwakilisha Msajili wa Mabaraza ya ardhi mikoa ya Pwani na Dar es salam amewasihi wajumbe walioapishwa kufanya kazi kwa uadilifu.

Kati ya Wilaya saba za Mkoa wa Pwani tayari wilaya tano zina Mabaraza ya Ardhi na Nyumba.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77