• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge awataka TANROAD na TARURA Pwani kuwasilisha maombi yao mapema ili yaweze kufanyiwa Kazi

Posted on: March 8th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amewataka Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini TANROADS pamoja na Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini TARURA kuwasilishwa maombi yao mapema Ili yaweze kufanyiwa kazi.

Kunenge amesema hayo wakati wa kikao cha Bodi ya barabara kilichofanyika Machi 7 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mjini Kibaha.

Akizungumza katika kikao hicho alisema Taasisi hizo za Serikali zinatakiwa kuainisha na kuwasilisha maombi yao mapema Ili yaweze kufanyiwa kazi kutokana na kuwepo wa miradi mingi inayohitaji fedha.

Awali akiwasilisha taarifa Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Pwani Mhandisi Baraka Mwambage aliiwasilisha Makisio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 sh. 18.9 billion ya matengenezo ya barabara sambamba na sh. 19.4 Bilion fedha za Maendeleo.

Mhandisi Mwambage pia ameeleza kwamba ujenzi wa Barabara ya Tamco Mapinga km 14 unatarajia kuanza hivi karibuni baada ya kupata kibali mwezi Februari mwaka huu.

Ujenzi wa Barabara hiyo utarahisisha usafiri kwa wananchi wanaonda Bagamoyo na Bunju ambao wanalazimika kuzunguka kupitia Mbezi, Tegeta.

Kadhalika amebainisha kuwa usanifu unaendelea kufanywa kupata gharama halisi za ujenzi wa barabara ya Chalinze Utete Km 354.

Amesema katika barabara hiii ujenzi wake utarahisisha kufika mikoa ya Kusini kupitia Chalinze lakini pia kwa wanaoenda bwawa la Mwalimu Nyerere wakitokea Chalinze watapunguza mzunguko sasa.

Hata hivyo vitendo vya baadhi ya wananchi kuendelea kisogea kwenye hifdhi ya barabara na kufanya shughuli zao by vinatajwa kuwa kikwazo kwa Taasisi hiyo.

Naye Meneja wa TARURA mkoa wa Pwani Leopold Runji pia ameaema utekelezaji wa kazi za dharura 2023/2024 mkoa huo imepokea sh.5.8 billion kwa ajili ya kazi mbalimbali za dharura.

Alibainisha baadhi ya kazi za dharura kuwa ni pamoja na kujenga boksi kalavati na kunyanyua tuta barabara ya Rubu-Milona kujenga mawe kuzuia mmomonyoko wa udongo.

Ujenzi wa Barabara km 3 na mitaro kwa ajili ya kuondoa mafuriko mji wa Ikwiriri na kwa Wilaya ya Kisarawe kujenga mitaro na kujaza sehemu ya barabara iliyolika na Mlemba.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777