• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge awataka Waandishi wa Habari wa Pwani kutumia kalamu zao kuwahabarisha Wananchi mambo mazuri yanayofanywa na Serikali .

Posted on: May 17th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge ,ametoa Rai kwa waandishi wa habari, kutumia kalamu zao kuwaelimisha wananchi mazuri yanayofanywa na Serikali na kutangaza fursa na matarajio makubwa ya mipango ya Serikali.

Aidha amewataka waandishi wa habari kushirikiana na mkoa kutangaza fursa za kiuchumi na uwekezaji zilizopo ili iwe kimbilio la wawekezaji.

Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Vyombo Vya Habari Cha Chama Cha waandishi wa habari Mkoani humo, Kunenge alieleza ,endapo wadau ,wangetaka kulipwa gharama ya kazi wanayofanya Basi tusingeweza kurudisha fadhila.

Hata hivyo Alibainisha, mkoa umedhamiria kuufungua Mkoa ,mkoa unakwenda kubadilika katika sekta ya uchumi na uwekezaji.

"Kuna eneo la Kwala ,Tuna kwenda kufungua Mji Kuwa Mji wenye fursa mbalimbali za uwekezaji,Kuna mkakati wa kuboresha Mji huo kwa uwekezaji na kuboresha miundombinu ya maji na umeme hata Bagamoyo tuna kazi kubwa ya kuupanga Mji ,Pia Chalinze, Kibaha, Bagamoyo,Mafia tunakwenda kupima Mji wetu kwa maendeleo ya mkoa"

Alieleza mabadiliko hayo yanatakiwa kutangazwa ,jamii ijue fursa zilizopo hauwezi Kuwa na maendeleo ama mipango yenye fursa zisizojulikana.

Kunenge alifafanua,mipango mingi inajulikana ndani ya jamii kutokana na kushirikiana baina ya Serikali na waandishi wa habari.

"Tunapozungumzia uhuru wa vyombo vya habari,Rais kashaeleza msimamo wa Serikali,Cha kwanza sera,tabia yetu, je tunatenda kulingana na sera na Sheria kanuni na taratibu,! je? tunazitekeleza."

"Muwe sehemu ya kunipatia changamoto, kwakuwa Mimi , napimwa na Rais kutokana na namna ya kusimamia ulinzi na Usalama, kero za wananchi ,,kutatua migogoro mbalimbali, kuisemea Serikali mazuri inayofanya ,"alisema Kunenge.

Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa mkoa alikiahidi chama hicho kukipa kiwanja bure ili kujenga ofisi ya kudumu.

Nae Mwenyekiti wa Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Pwani, Ally Hengo alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kupatiwa kiwanja na kusema wanakwenda kuondokana na hali ya kutangatanga.

Alisema, kwa Sasa wamepanga ofisi na kulipa Kodi lakini wakishapata kiwanja hicho na kukijenga itakuwa mkombozi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77