• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge awataka wanachi wa Tondoroni kuheshimu maamuzi ya Mahakama.

Posted on: May 31st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amesema Serikali ya Mkoa huo haiko tayari kuingilia maamuzi yaliyotolewa na Mahakama kwenye mambo mbalimbali ikiwemo migogoro ya ardhi.

Kunenge ameyasema hayo Mei 31 alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji Cha Tondoroni kata ya Kiluvya Halmashauri ya Kisarawe aliokutana nao kwa kikao cha muda mfupi Mjini Kisarawe.

Wananchi hao kwa muda mrefu wanakabiliana na mgogoro wa ardhi kati yao na kikosi cha Jeshi 83 REGT

"Msimamo wetu ngazi ya Mkoa hatuingilii maamuzi ya Mahakama kama wameshafanya maamuzi mnatakiwa kuondoka kwenye eneo hilo msije mkapata madhara vinginevyo rudini mahakamani tena," amesema Kunenge.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema wananchi hao wanatakiwa kuheshimu maamuzi ya Mahakama na endapo hawajaridhika ni vema wakarudi Mahakamani kukata Rufaa.

Hata hivyo wananchi hao walimuomba Mkuu wa Mkoa kupokea nyaraka za Mahakama walizonazo jambo ambalo alikubaliana nalo na kuwataka kuchagua wawakilishi kwa ajili ya kukutana nao June 3 siku ya jumatatu kujadiliana kuhusiana na jambo hilo.

Awali Mwanasheria wa Mkoa wa Pwani Moza Mtete aliwasilisha sehemu ya hukumu ya kesi hiyo namba 83 ya mwaka 2016 kuwa madai ya hoja za walalamikaji hoja zilizopelekwa zipo nje ya ukomo.

Moza amesema mwaka 1980 Jeshi lilitambua mipaka yake na waliokuwepo kwenye eneo la Tondoroni walilipwa fidia na malalamiko ya wananchi hao walikuwa wanadai Jeshi halijafuata Sheria ya fidia hoja ambayo ilionekana haina Msingi.

Kwa mujibu Moza sehemu ya hukumu hiyo pia ilibainisha kwamba Ili ulipwe fidia madai yanatakiwa kupelekwa ndani ya miaka mitatu tofauti na wananchi hao ambao wamepeleka madai yao baada ya miaka kumi kupitia.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77