• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge awataka Wananchi waliovamia Kisiwa cha Nyororo Kutekeleza agizo la Serikali linalowataka kuhama katika kisiwa hicho kwani ni eneo tengefu kwa ajili ya Mazalia ya Samaki katika Bahari ya Hindi.

Posted on: May 29th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Pwani the. Abubakari Kunenge, amewataka wanananchi ambao wamevamia na kuweka kambi za uvuvi katika kisiwa cha Nyororo kilichopo katika wilaya ya Mafia kutekeleza mara moja agizo la serikali linalowataka kuhama mara moja katika kisiwa hicho ambacho ni eneo tengefu kwa ajili ya mazalia ya samaki katika bahari ya Hindi.

Kunenge ametoa rai hiyo Leo May 28,2022 wakati alipofanya ziara ya Kikazi katika kisiwa hicho kukutana na wananchi hao ambao wamevamia kisiwa hicho hakina huduma za kijamii na kuanzisha makambi ya kudumu.

Kwa mujibu wa mkuu huyo wa mkoa, serikali kupitia kwa waziri wa mifugo na uvuvi Mashimba Ndaki tayari imeshakutana na wananchi hao na kuwataka waondoke katika eneo hilo mara moja lakini bado wameendelea kuwa wakaidi na jambo ambalo limemlazimisha katibu mkuu wa wizara hiyo kutoa maelekezo mengine kwa uongozi wa mkoa akiutaka uongozi huo usimamie agizo la kuondolewa kwa watu hao.

Amewataka wananchi hao kuheshimu agizo hilo kwa kuwa nchi hii inaendeshwa kwa misingi ya sheria na hakuna mtu yoyote aliyeko juu ya sheria,

Pia amewataka wananchi hao kupitia kwa mwenyekiti hao Said likuwawA kuunda kamati ya watu watano wafike ofisini kwake ili kujadiliana na namna ambavyo wataweza kumaliza tatizo hilo kwakuwa serikali serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassani ni sikuvu na inawajali wananchi wake.

Kwa upande baadhi ya wakazi hao wameiomba serilali kuhalalisha kisiwa hicho kuwa makazi ya watu na kuanzisha kitongopji ndani ya kisiwa hicho ili wananchi waweze kupata huduma za kijamii .

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200