• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge azipa Halmahauri Mbinu ,Ufanisi ukusanyaji mapato

Posted on: August 16th, 2023

Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amezielekeza Halmashauri zote za mkoa huo kuandaa mikakati thabiti itakayoziwezesha kuongeza ukusanyaji mapato ili kuisaidia serikali kutoa huduma bora kwa wananchi wake.

Kunenge ameyasema oa hayo leo Agosti 15, 2023 kwenye kikao kazi maalum kilichofanyika Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha cha kuandaa mpango mkakati wa ukusanyaji mapato kwa kipindi cha miaka mitano mkoani humo.

Amesema mpango huo utakuwa ni dira ambayo utaisaidia mkoa wa Pwani kuongeza ukusanyaji wa mapato kutoka kwenye vyanzo mbalimbali ikiwemo sekta ya viwanda, uvuvi, mifugo, kilimo na uchumi wa bluu.

“Ni hatua muhimu sana kwa mkoa wetu katika kuhakikisha tunawahudumia wananchi kupitia rasilimali zetu za ndani, tunahitaji tukusanye mapato katika kila sekta lakini kwa utaratibu mzuri ambao hautawaumiza wananchi wetu, “ amesema Kunenge.

Ameongeza kuwa mkoa wa Pwani umekuwa wa kwanza kujengewa uwezo na Serikali ya watu wa Ujerumani GIZ katika kufanikisha mpango bora wa ukusanyaji mapato na kwamba watahakikisha mkoa huo unakuwa kinara wa mapato nchini.

Aidha, Kunenge amewashauri wakuu wa mikoa wengine nchini kujifunza mbinu za kisayansi za kukusanya na kuongeza mapato na kwamba ofisi yake ipo tayari kutoa uzoefu wake ili kwa pamoja waisaidie serikali kupata fedha za kuwahudumia wananchi.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson Simon amesema mpango huo wa miaka mitano utasaidia kuongeza ukusanyaji mapato kutoka sh. bilioni moja hadi bilioni 20.

Amesema miongoni mwa vyanzo wanavyovikusudia ni bandari kavu ya Kwala, mradi wa ujenzi wa nyumba na viwanja vya michezo.

“Tunaamini mbinu hizi za kisayansi zitatusaidia sisi Kibaha kuongeza ukusanyaji wa mapato na tupo tayari kulisimamia hili kwani uwezo wa kufanya hivyo tunao kwa sababu tuna rasilimali za kutosha.

Naye Mtaalam Msimamizi wa Fedha za Umma kutoka Serikali ya Watu wa Ujerumani GIZ nchini Tanzania, Eriko Amon amesema kuwa mpango huo utasaidia kuweka utaratibu wa kuwatambua wafanyabiashara, kuchambua maeneo yanayosababisha fedha kukosekana ili kuongeza ukusanyaji wa mapato.

Katika kikao hicho, Nsajigwa George aliyemuwakilisha Katibu Tawala mkoa wa Pwani amesema kuwa mpango huo ni utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan sambamba na dira ya maendeleo ya mkoa huo.

Amesema mkakati huo wa utekelezaji ni matokeo ya jitihada zinazofanywa na viongozi wa mkoa huo katika kuisaidia serikali kupata fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya wananchi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200