• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge ''Tunataka Pwani ya Kutatua Changamoto kwa Ubunifu wa Kimkakati''

Posted on: October 17th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amesema serikali ya mkoa imelenga kuifanya Pwani kuwa kinara wa ubunifu na utatuzi wa changamoto kwa njia za kimkakati, ili kuongeza tija katika utoaji huduma na kuvutia uwekezaji.

Mhe. Kunenge ametoa kauli hiyo leo Octoba 17 wakati wa kufunga mafunzo ya kujengea uwezo viongozi wakuu wa sehemu na vitengo wa Halmashauri ya Chalinze, yaliyofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha.

Amesema viongozi wanapaswa kutumia maarifa waliyojifunza ili kuleta matokeo chanya katika maeneo yao ya kazi, kwa kuibua fursa mpya na kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji.

“Tujitahidi kutumia mafunzo haya kutengeneza fursa na kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji. Tunataka kuona matokeo chanya ya mlichojifunza hapa,” alisema Mhe. Kunenge.

“Mkoa wa Pwani unataka kuwa eneo la ubunifu na suluhisho endelevu kwa changa moto zinazoukabili.”

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, amewataka wahitimu wa mafunzo hayo kuendeleza mawazo ya kimkakati yatakayowezesha utekelezaji wa miradi bunifu ya maendeleo, ili kupunguza utegemezi kwa Serikali Kuu.

Amesisitiza umuhimu wa viongozi kuendana na mabadiliko ya teknolojia na kutumia mbinu mpya za usimamizi ili kuongeza ufanisi na tija katika utoaji wa huduma.

Mafunzo hayo ya siku tano yamejikita katika kuimarisha uwezo wa viongozi kwenye masuala ya uongozi, ubunifu, utatuzi wa changamoto, na usimamizi wa rasilimali, yakiwa na lengo la kuboresha utoaji huduma kwa wananchi na kuchochea maendeleo endelevu katika Halmashauri ya Chalinze na Mkoa wa Pwani kwa ujumla.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77