• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Ndikilo awasisitiza Viongozi wa Dini kuhubiri Amani.

Posted on: October 26th, 2020

MKuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo ametoa rai kwa viongozi wa dini kuwashirikisha waumini wao kwenye nyumba za ibada kuliombea Taifa kuelekea siku ya kupiga kura tarehe 28 mwezi huu ili ufanyike kwa utulivu na amani.

Mhe. Ndikilo ametoa rai hiyo leo Oktoba 26, 2020 katika kikao cha kamati ya amani ya Mkoa kilichofanyika kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani-Kibaha.

Alisema, Mkoa umekamilisha maandalizi yote kwa ajili ya kupiga kura siku hiyo ya Octoba 28 na kwamba yote hayo hayawezi kufanyika bila huruma ya Mungu.

Mkuu huyo wa Mkoa alisema, ni jukumu la viongozi wa dini kuzidisha maombi kuomba amani ili kura zipigwe kwa amani na utulivu na mshindi atangazwe bila shinikizo.

Alisema, Serikali inahakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani na utulivu, na kwamba Mkoa unatarajia baada ya kupiga kura, zihesabiwe kwa utulivu na mshindi kutangazwa bila kikwazo ili mkoa uendelee kubaki na hali ya amani baada ya Uchaguzi.

Aliwasisitiza wananchi wenye sifa kujitokeza kupiga kura ili kutimiza wajibu wao na kuzingatia kikamilifu maelekezo kutoka tume ya Uchaguzi.

Nae Mwenyekiti Mwenza wa kamati ya amani ya Mkoa wa Pwani Hamis Mtupa alisema kipindi chote cha Kampeni hapakuwa na uvunjifu wa amani hivyo kuwaomba wananchi kuendeleza hali hiyo ya utulivu siku ya Uchaguzi.

Alisisitiza wananchi kurudi nyumbani baada ya kupiga kura, huku akitoa tahadhari kwa Jeshi la polisi kuhusiana na mkesha wa maulidi ambao utakuwa siku ya kupiga kura.

Kwa upande wake Padri Benno Kikudo alisema wanaendelea na maombi kuiombea nchi kufanya uchaguzi kwa amani huku akiwasihi wagombea kuwa tayari kupokea matokeo baada ya kura kupigwa.

Akichangia wazo, Ahmad Seif mmoja wa wajumbe wa kamati ya amani aliiomba Serikali kuwezesha kamati hiyo ya mkoa kufika maeneo ya shule kuwaelimisha Vijana umuhimu wa kulinda amani.

Seif alisema Serikali inatakiwa kuangalia namna ya kutengeneza amani kuanzia shuleni kwani kundi la Vijana ndio linalochangia kupotea kwa amani.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777