• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Ndikilo awataka Wazazi kuacha kubagua watoto kwenye Malezi

Posted on: March 8th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amewataka wazazi na walezi katika mkoa huo kuacha ubaguzi kwa watoto wao kwa kuwachagulia kazi kwani hakuna kazi maalumu kwa watoto wa kike na kiume.

Alisema kwa kufanya hivyo.ni kuendelea kumbagua mtoto wa kike na kuendeleza mfumo dume kwenye jamii.

Hayo ameyasema leo Mach 8, 2021 katika Kijiji cha Kimanzichana Wilaya ya Mkuranga kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.

Ndikilo alisema kuwa wazazi wanatakiwa kuwahamasisha watoto wote bila kubagua jinsia zao kufanya kazi zote kwa bidii lakini pia kuwahamasisha kusoma masomo yote ambayo yatakuwa msaada mkubwa kwenye maisha yao ya baadae.

Aidha alitoa onyo kwa wazazi na walezi kuacha tabia ya kuwaficha watoto wakike wenye ulemavu Jambo linalosababisha kuwanyima haki zao za msingi.

Aliwasisitisiza wananchi kuwa na ushirikiano katika kupinga vitendo vya ukatili wa Kijinsia kwenye jamii ikiwa ni pamoja na kukomesha vitendo vya mimba za utotoni.

Alisema katika kipindi cha mwaka 2020 wanafunzi zaidi ya 190 wa Mkoa huo wameshindwa kuendelea na masomo baada ya kupata mimba wakiwa shuleni, ambapo wanafunzi wa shule za msingi ni 39 na Sekondari ni zaidi ya 151. Halmashauri inayoongoza you ni kisarawe ikiwa na wanafunzi 46.

Ndikilo alisema kitendo cha wanafunzi hao kukatisha masomo ni kuendelea kumdidimiza mtoto wa kike.

Alisema kuwa takwimu zinaonyesha kuwa kwa kipindi cha mwaka 2020 wanawake 2,316 walifanyiwa vitendo vya ukatili kijinsia ikiwemo kubwaka, kutelekezwa na mimba za utotoni.

Ndikilo ametoa Rai kwa Halmashauri zote Mkoani hapo kutoa fedha za Mikopo za Asilimia 10 ya mapato kwa makundi ya Kinamama Vijana na Walemavu.

Katika maadhimisho hayo Mkuu wa Mkoa alikabidhi hundi zenye thamani ya jumla ya Shilingi Milion 228 kwa vikundi 26 vya wajasiriamali Wilayani Mkuranga.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88