• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Pwani Azindua Mafunzo ya Uongozi kwa wakuu wa Vitengo wa Mashirika ya Umma

Posted on: October 21st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, leo amezindua mafunzo ya kozi ya uongozi na Menejiment bora kwa  Wakuu wa Vitengo kutoka mashirika ya za umma.

Mafunzo haya yanafanyika  leo Oktoba 21,2024, katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere iliyopo Kibaha, mkoani Pwani.

Kunenge amewataka washiriki, baada ya kumaliza mafunzo hayo, kufanya kazi kwa kuzingatia vipaumbele vya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambavyo ni Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi, na Kujenga Upya Taifa.

Kunenge alieleza kuwa kufahamu vipaumbele katika utendaji kazi kutasaidia kufikia malengo ya kuongeza tija, kuboresha utoaji wa huduma bora kwa wananchi, na kuhakikisha viwango vya kimataifa vinazingatiwa, ambavyo ndiyo dira ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

“Nyinyi ni viongozi mnaosimamia menejimenti, ambao mnachukua maamuzi muhimu. Mna nafasi kubwa ya kuunda mazingira bora kwa wafanyakazi wengine kufanya kazi vizuri, na kuhakikisha mifumo ya taasisi inaboreshwa.

Aliendelea kusema kuwa, Matarajio ya Rais ni kuona taasisi za umma zinatoa huduma bora kwa wananchi na wawekezaji ili kuboresha mazingira ya uwekezaji, kuongeza tija, na kutoa huduma za viwango vya kimataifa. Hii ndiyo kazi yenu,” alisema Kunenge.

Aidha, aliwakumbusha washiriki kuwa ni vigumu kutekeleza mambo mengi kwa wakati mmoja kutokana na rasilimali zilizopo, hivyo ni muhimu kuweka vipaumbele vya msingi vinavyoweza kuongeza tija kwa wananchi. Pia alisisitiza umuhimu wa kushirikiana, kuweka malengo yanayopimika, na kufanya tathmini ya utendaji kulingana na mahitaji ya wananchi, ambao ndiyo wateja wao wakuu.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200