• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RCPwani awaasa wawekezaji wanaohitaji kuwekeza wahakikisha wananunua maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji.

Posted on: October 6th, 2023

Serikali Mkoani Pwani, imeagiza wawekezaji wanaohitaji kuwekeza Mkoani humo wahakikishe wananunua maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji pamoja na kongani ,ili kuepuka kufanyiwa utapeli na kununua maeneo yaliyo kwenye migogoro ya ardhi.

Aidha halmashauri za mkoa huo zimetakiwa kupima maeneo ya uwekezaji ili kuzirahisishia Taasisi wezeshi ikiwemo Wakala wa barabara mijini na Vijijini (TARURA),Shirika la umeme (TANESCO), Mamlaka ya maji Dar es salaam na Pwani (DAWASA) na Shirika la maendeleo petroleum (TPDC)ziweze kuweka mazingira wezeshi katika mipango yao.

Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa wa Pwani, alhaj Abubakari Kunenge wakati alipokagua na kutembelea ujenzi wa mradi wa Kiwanda Cha Kinglion Steel kinachojishughulisha na utengenezaji wa bidhaa zitokokanazo na chuma,huko Zegereni,Kibaha.

"Uwekezaji mkubwa kama huu unahitaji miundombinu yenye gharama,mfano barabara,maji,umeme wa kutosha,gesi ya kutosha, Kwahiyo tuna waambia wawekezaji wetu,vitu hivi ni gharama kubwa.

"

Akitoa taarifa ya mradi wa ujenzi huo, Arnold Christian Lyimo , meneja Kinglion Investment co.ltd ametaja changamoto wanayokabiliana nayo ni uhitaji wa barabara kiwango cha lami km 2 ambayo itasaidia kurahisha usafirishaji wa bidhaa kwenye eneo hilo..

Alieleza, ujenzi huo ulianza march 2022 na utakamilika April 2024 na utaanza uzalishaji Juni 2024 ambapo utagharimu Bilioni 163.

Nae Meneja wa TARURA Mkoani Pwani,Leopold Runji kwa upande wake alisema ,kutokana na changamoto ya barabara kuelekea kiwanda Cha Kinglion wanatarajia kwa kuanza kujenga kwa kiwango cha changarawe kipande kitakachogharimu kiasi Cha sh.milioni 220.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77