• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Tumeshuhudia awamu ya sita ikifanya mageuzi makubwa katika sekta ya Afya :RC Kunenge

Posted on: February 20th, 2023

Hospitali ya Rufaa ya mkoa ya Tumbi, Mkoani Pwani imeanza kutoa huduma ya kusafishwa damu pamoja na mashine za CT-scan pamoja na X-ray za kielektroniki.

Mkuu wa mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge, alieleza neema hiyo kwa wagonjwa na wananchi waliojitokeza hospital ya rufaa ya mkoa ya Tumbi, kupata matibabu ya bure kwa madaktari Bingwa kutoka Hospital ya Muhas Mloganzila pamoja na Hospital ya rufaa ya Tumbi ambao wameshirikiana kutoa huduma za afya bure kwa wanaosumbuliwa na magonjwa mbalimbali ikiwemo sukari,Figo,moyo .

Alieleza kutolewa kwa huduma hizo katika hospital hiyo kunaacha historia ya kero iliyokuwepo kufuata huduma hizo umbali mrefu na hospital nyingine kubwa kama Muhas na Muhimbili.

"Tunashuhudia Serikali ya awamu ya sita ikifanya mageuzi makubwa katika sekta ya afya kwa kusogeza huduma mbalimbali kwa Wananchi ikiwemo vifaa tiba vya aina hiyo,kama x-ray, kuongeza watumishi wa afya ,madawa na kuongeza miundombinu ya vituo vya afya za wilaya "alieleza Kunenge.

"Nimefika kujionea namna huduma hizi zinavyotolewa na kuzungumza na nyie kwa kutambua umuhimu wa kuja kujua hali zenu za kiafya ,ikiwa ni siku ya kwanza ya utoaji wa matibabu hayo kwa siku nne zilizopangwa."anasema Kunenge.

Mkuu huyo wa mkoa, aliwaasa wananchi, wajenge tabia ya kwenda vituo vya afya, hospital kujua hali zao na kupatiwa matibabu kuliko kusubiri magonjwa yakomae Hali inayosababisha kuchukua muda katika uponaji.

Mkoa wa Pwani una wilaya saba, Halmashauri Tisa, hospital moja ya Tumbi, hospital za wilaya tisa na vituo vya afya 412.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200