• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Viongozi Halmashauri ainisheni idadi ya wataalamu wanaohitajika Kisekta-RC Kunenge

Posted on: June 20th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewataka viongozi wote wa Halmashauri za mkoa huo, kuainisha sekta zinazohitaji watumishi na idadi yake ili kuondokana na changamoto za ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo inajengwa kwa ajili ya kuwanufaisha wananchi.

Kunenge ametoa kauli hiyo leo Juni 19, 2023 kwenye kikao kilichoketi na kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG kwa halmashauri ya wilaya ya Kibiti kwa mwaka wa fedha 2021/22.

Amewaelekeza Viongozi wa halmasahuri kuainisha vipaumbele vyao hasa katika eneo la watumishi kuwa waweke mahitaji yao kwa kuzingatia sekta zenye uhitaji ili maombi yapelekwe kwa mamlaka zenye dhamana ya kuwapanga watumishi wapya wapelekwe katika halmashauri hizo.

Ameongeza kuwa hatua hiyo itasaidia miradi kukamilishwa kwa wakati kuliko ilivyo sasa ambapo baadhi ya halmashauri inalipa fedha zote kwenye ujenzi wa miradi lakini inasuasua kwa sababu mikakati na vipaumbele vya mahitaji ya wananchi havijawekwa vizuri.

“Unakuta Fedha zinalipwa zote halafu miradi haikuendelea, inakuwaje tunalipa Fedha zote halafu miradi Haika kamili ka kisha unasema mradi unaendelea! Sasa Hili halivumiliki na halikubaliki, ili uweze kufanya malipo lazima uwe umejiridhisha ya kuwa mradi umekamilika kwa kiwango na ubora unaohitajika,” amesema Kunenge.

Ameongeza kufafanua kuwa “miradi inaanzishwa ili kutatua kero za wananchi kwa kuwapatia huduma muhimu kama vile za afya, elimu, maji, usafiri na kilimo, hivyo usipokamilisha mradi unasababisha kero za ukosefu wa huduma hizo katika jamii na pia kuongeza gharama za utekelezaji na utakuwa umeihujumu Serikali na juhudi kubwa anazozifanya Mhe. Rais wetu kuwaletea wananchi maendeleo,” ameongeza Kunenge.

Amesisitiza kuwa jambo hilo halikubaliki na kwamba licha ya kuwa na changamoto ya wataalam katika baadhi ya sekta lakini suala la kutokamilisha miradi kwa wakati ni uzembe. “Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi kwa ajili ya kukamilisha miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye maeneo yetu inaumiza kuona wasaidizi wake wanakwamisha haiwezakani kila mmoja atimize wajibu wake,” amesema Kunenge.

Amesema halmashauri zikibainisha idadi ya watumishi kwa kuzingatia vipaumbele itasaidia kuajiri watumishi ambao watakwenda kutatua matatizo ya wananchi ambayo yanatokana na kutokamilika kwa wakati ujenzi wa miradi na uboreshwaji wa miundombinu mbalimbali ya kisekta.

Serikali inatoa fedha nyingi katika kukamilisha miradi ya maendeleo, fedha zote zinalipwa lakini changamoto ni miradi kutokamilika kwa wakati sasa jambo hili halifurahishi,”amesema Kunenge.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777