• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Wahamiaji Haramu kutoka Nigeria na Cameroon wakamatwa Pwani

Posted on: February 15th, 2023

Raia wawili wa kigeni wamekamatwa wakiishi katika eneo la Mapinga Kibosha Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kinyume cha sheria za nchi.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya usalama mkoa huo Alhaj Abubakari Kunenge amewataja Wawili hao kuwa ni Livingston Ese Onayomake raia wa Nigeria na Bertrand Noubissie wa Cameroon.

Kunenge alieleza kuwa Mcameroon Noubissie alikutwa na karatasi zilizoandaliwa kwa ajili ya kuchapisha noti bandia, kemikali na kasiki la kutunzia fedha huku Ese Onayomake raia wa Nigeria akikutwa na paspoti 34 ambazo si za kwake, ambapo kati ya hizo paspoti 32 ni za Nigeria na paspoti mbili zikiwa ni za Ghana.

"Huyu raia wa Nigeria alipohojiwa, alidai kuwa alichukua pasipoti hizo

kwa lengo la kuwatafutia wahuskia viza ya Uturuki," alisema Kunenge.

Mkuu huyo wa Mkoa alionya kuwa hatomvumilia raia yeyote wa nje atakaetaka kuishi Mkoani humo kinyume na Utaratibu ambapo ameeleza wale wanaoishi bila kufuata sheria na kubainika watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Nae afisa uhamiaji mkoa wa Pwani, Omary Hassan alieleza kuwa walifanikiwa kuwakamata watuhumiwa hao baada ya kupokea taarifa fiche Februari 9, 2023 wezi kutoka kwa msiri wao akieleza kwamba katika eneo tajwa kuna watu ambao uraia na mienendo yao yanatia shaka na Februari 10 timu ya Maafisa Uhamiaji walifanikiwa kufika katika eneo husika na kutekeleza jukumu lao ambapo walikamata raia hao wawili wa Afrika Magharibi na kuwafanyia upekuzi maungoni na kwenye makazi yao.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200