• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Wananchi wa Mbuschi na Mbwera tunamshukuru Mhe. Rais kwa Ujenzi wa Daraja la Mbuchi : RC Kunenhe

Posted on: November 29th, 2022

Wananchi wa Mbuchi na mbwera Kibiti tunamshukuru Mhe Rais kwa Ujenzi wa Daraja la Mbuchi.-Kunenge.

Mhe Kunenge ameyasema hayo leo November 29, 2022 wakati wa Ziara ya Mhe Kassim Majaliwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akikagua Ujenzi wa Daraja hilo na kusalmia Wananchi wa Mbuchi .kulikuwa na Mgogoro.

Tulikuwa na Changamoto kubwa ya Daraja hapa Mhe Rais ameleta fedha na Daraja hili linejengwa. Eneo hii ilikuwa hliipitki.

Mhe Kunenge ameeleza kuwa Eneo hili la Mbuchi ni Eneo la Kimkakati kwa Uchumi wa Mkoa kwani kina shughuli kubwa za Kilimo na Uvuvi.

Mhe Rais amefanya kazi kubwa hana ubaguzi anatuhudumia na kupeleka huduka kule kwenye Changamoto zaidi.

Wilaya ya Kibiti na Rufiji shughuli kubwa ni la Kilimo korosho, Mpunga Ufuta. "Tuna Uwekezaji Mkubwa kilimo cha Mpunga Wilaya ya Kibiti" Ameeleza Kunenge

Wawekezaji wanakimbilia eneo hili kwa sababu Lina Maji na Ardhi nzur yenye Rutuba.

Kunenge ameeleza Kutokana na Changamoto ya Mabadiliko ya Tabia Nchi Wafugaji Wengi wamehamia Wilaya ya Rufiji na Kibiti. Hali inayopelekea Mifugo kuwa mingi kuliko ukubwa wa Ardhi iliyotengwa kwa malisho.

Mhe Kunenge ameeleza Mkoa Unaendelea na kutoa elimu kwa Wakulima kufuga Mifugo kulingana na Ardhi ya Malisho. Ameeleza Mkoa unatekelezwa Mpango wa Ranchi Ndogo na wameanza kwa Wilaya ya

kisarawe tuna Ufugaji na kibiti tuna Ufugaji wa Ranchi Ndogo.

Ameeleza kuwa wametenga maeneo kibiti na Rufiji na watawapa Wafugaji ili wafuge kisasa.

"Tuwe na Ng'ombe wachache wa kisasa" Ameeleza Kunenge.

Naye Mhe Waziri Mkuu ameridhishwa na Ujenzi wa Dajara Hilo amepongeza Taasisi za TANROADS na TARURA kwa kazi nzuri ya Usimamizi na Ujenzi wa Daraja hilo.

Ameeleza Ujenzi wa Daraja hilo ni dhamira ya Serikali ya Kuhakisha inawafikia Wanchi mpaka Vijijini. Ameeleza ndiyo maana Serikali imeanzisha Wakala wa Serikali wa Barabara Vijijini TARURA. Amemwagiza Waziri TAMISEMI Kushughulikia Ujenzi wa Barabara Unganishi kutokea Mhoro kufika Mbuchi. Amewataka Wananchi kuchangamkia Fursa za Kiuchumi zilizopo Eneo hilo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200