• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Washiriki wa chuo cha Ulinzi cha Taifa NDC Watembelea Mkoa wa Pwani kwa Ziara ya Mafunzo

Posted on: January 13th, 2025


Mkoa wa Pwani umepokea ujumbe wa washiriki kutoka Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC) ambao wamewasili mkoani hapo kwa lengo la kufanya ziara ya mafunzo ya kiusalama inayohusisha masuala ya kiuchumi, kijamii, kisiasa, na uwekezaji.

Ziara hiyo, iliyoanza Januari 13, 2025, imejumuisha washiriki kutoka ndani na nje ya nchi na kuongozwa na Brigedia Jenerali Charles James Ndiege, Mkufunzi Elekezi Mwandamizi wa Jeshi la Nchi Kavu kutoka NDC, pamoja na wakufunzi wengine.

Lengo kuu la ziara hiyo ni kuwajengea washiriki uelewa wa changamoto na fursa zilizopo mkoani Pwani.

Akizungumza wakati wa kuwapokea wageni hao, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Abubakar Kunenge, alisema kuwa ziara hiyo ni fursa ya kipekee kwa washiriki kujifunza mambo mbalimbali katika nyanja za kisiasa, uchumi, kijamii, na uwekezaji.

“Ujio wa washiriki hawa sio tu unaimarisha ushirikiano wa kimataifa, bali pia unachangia kukuza maendeleo ya Mkoa wa Pwani na kuimarisha hali ya ulinzi na usalama,” alisema Kunenge.

Aidha, alibainisha kuwa Mkoa wa Pwani unaendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia vipaumbele vya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hasa katika masuala ya maendeleo ya viwanda na uwekezaji.

Kwa upande wake, Brigedia Jenerali Charles James Ndiege alisema lengo la ziara hiyo ni kujifunza masuala ya kiusalama katika nyanja za kiuchumi, kijamii, kisiasa, na viwanda, ambavyo vina athari kubwa kwa usalama wa nchi. Alieleza kuwa Mkoa wa Pwani umechaguliwa kwa kuwa unaongoza kwa kuwa na viwanda vingi na mazingira mazuri ya uwekezaji, jambo ambalo linachangia kukuza uchumi wa taifa.

Naye mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo, Kanal Richard Rama alisema kuwa wamejifunza jinsi Mkoa wa Pwani ulivyoweka kipaumbele katika uchumi kupitia uwekezaji katika viwanda na miradi mingine ya maendeleo.

Washiriki hao wanatarajiwa kukaa mkoani Pwani kwa siku tano, ambapo watatembelea maeneo mbalimbali na kushuhudia shughuli za uzalishaji mali.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777