• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Watakaoficha Sukari na Mafuta Kukiona-RC Ndikilo

Posted on: May 18th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo amewataka wafanyabiashara wote Mkoani Pwani kuacha mara moja tabia ya kuficha bidhaa ili zionekane adimu na waweze kupandisha bei kwa manufaa yao binafsi.

Kauli hiyo ameitoa jana  pindi alipofanya ziara ya kushtukiza katika maghala ya kuhifadhia bidhaa mbalimbali  za wafanyabiashara  waliopo Mailimoja Mjini Kibaha kwa lengo la kuangalia bidhaa za sukari na mafuta ya kula kama zipo ambapo alibaini bidhaa hizo zipo za kutosha .

“Natoa tahadhari kama kutakuwa na mfanyabiashara  yeyote ambae pengine atajaribu kuficha hizi bidhaa  zionekane adimu na zipande bei  kwa  lengo la kijitafutia utajiri wa haraka haraka ajue kwamba atakumbana na mkono wa sheria na ajue kwamba  Serikali ya Mkoa itamchukulia hatua kali sana”alisema Ndikilo.

Aidha Mhandisi Ndikilo amewatoa wasiwasi wananchi wa Mkoa Pwani, kwa kuwahaikikishia kuwa bidhaa ya sukari na Mafuta zipo za kutosha  na suala la kuadimika  na kupanda bei kwa bidhaa hizo halitakuwepo.

Naye mwenyekiti wa jumuia ya wafanyabiashara Mkoa Pwani   Abdalla Ndauka amemuhakikishia Mkuu wa Mkoa mkoa kuwa wao wapo bega kwa kwa bega na Serikali ya Mkoa katika kuhakikisha kuwa bidhaa hizi zitapatikana kwa wingi na pia hawataruhusu suala  kuficha bidhaa hizi.

“Nawahakikishia wananchi wa Mkoa Pwani kuwa  kwa ushirikiano ambao tumekuwa nao kati yetu na Serikali,  nitahakikisha wananchi watapata huduma  kama kawaida na nitahakikisha kwamba suala hili halitaokea na endapo atatokea mwenzetu ndani ya chama  ambae ataenda kinyume na haya basi tutamshughulikia sisi wenyewe kwanza kama chama.

Na nawaomba wafanyabiashara wote wa Mkoa Pwani tuhakikishe kuwa huduma zote za msingi ambazo tulikusudia kuzitoa kwa wananchi basi tuzitoe kwa wakati bila kujali huyu ni nani hasa katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani”alisema Ndauka .

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200